Ushamba wa huyo Balozi:
Zitto Kabwe kwa Kigoma aliweka Mawakala kila kituo na Walifika Alfajili na walikagua Mabox ya kuwekea kura halili zilizopigwa wakajilidhisha kwamba mabox yapo salama na walimweleza Zitto kuwa Mazingira yapo salama na alikubaliana nao na akihojiwa na waandishi wa habari...
Kwani ya kwao na Corona wameyamaliza. Itawabidi waendelee kujifunza kwetu namna Bora ya kutunza amani na mshikamano wa Kitaifa.
Na Wanatakiwa wa faulu kupambana na hali yao ndo waje kwetu
Na Uhakiki uliyeandika utakuwa siyo mjumbe wa Kamati ya Makubaliano ya Amstardam (Kuukubali Ushoga), na uhakiki utakuwa siyo uloyekuwa umepewa Rushwa na akashia ili Makinikia yaondoke kwenda Ulaya bila Ukaguzi wa Serikali kujiridhisha, na uhakika utakuwa siyo wewe uliyekubali kwamba wewe ni...
Kigoma kuna Mtu nasikia amechanganyikiwa baada ya mbinu zake kuvulugwa. Mkakati wake ulikuwa ni kutumia fedha kutengeneza nyomi kwenye Mkutano, kwa kuuagiza uongozi wa kata wa Act wazalendo kuhakikisha wanapatawwatu wasiopungua 100 na kila mmoja alipwe hongo kuanzia 5,000 hadi 10,000 .
Lengo...
Zitto Kabwe ambao hamumwelewi hakuna mahali alipoenda kufanya kazi akapaacha salama, yeye kazi yake ni kusaliti tu.
1. Aliitasiliti Chadema na Mbowe.
2. Aliisaliti nchi na Wananchi Wananchi wote.
3. Ameisaliti Katiba iliyoipa nguvu Act wazalendo kusajiliwa na msajili wa Vyama vya siasa.
4...
Mimi Mtumishi wa Umma, nipata salary incliment 98,000/=, Mwaka 2016, salary incliment 102000 Mwaka 2017 up to date naendelea kupata.
Ubora wake Kiuchumi wa Mtumishi: Haijaongeza Mfumuko wa Bei, tofauti na zamani ukiongezewa 15,000 na bei ya kila bidhaa inapanda. Naamini mmenielewa JPM...
Keyboard zinavyofanya kazi JF zingekuwa ndo kura Ufipani ingekuwa sherehe. Lakini kitaani kila anapopita akiondoka watu wanaanza kujadili Chadema Sera yao ni Ipi, Yaani mumewavuluga kabisa watu. Bora hata Hashimu Rungwe anasera ya Ubwabwa
Aisee Nisaidie Jambo:
Hakuna Mzungu mwenye Upendo na Waafrika, anaupendo na vitu vinavyopatikana kwa Maslahi mapana ya Mataifa yao. Wakikosa kupata kwa ulaghai wanapandikiza Viongozi ( Mfano Tundu na Zitto- Kwa nchi ya TZ) , Wanahamasisha Upatikanaji wa haki kwa kuunda vikosi vya kiaasi- Mfano...
Kwanza wenyewe Uchaguzi hauwi huru na haki, Mbona Krintoni aliongoza kura harafu akatangazwa Trump waachaane na cc. Wanaviolete Demokrasia harafu wanataka watudundishe Demokrasia
Marekani wanaijua Tanzania na wanaelewa wanachotakiwa kukifanya bila kuwakosea Watanzania. Mpaka saizi wameamini akili ya JPM ina dira nzuri yenye kuutambua ukuu wa Mungu.
Wanatambua ili waendelee kuishi ni lazima kumheshimu aliyemtanguliza Mungu kuwalinda watoa huduma za Afya, Maaskari wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.