Usiweke moja moja,weka top 10 ya hotel za Mwanza alafu linganisha na Nakuru,ukienda top 30 ndio aibu zaidi.
Katika miji mitano mikubwa Afrika Mashariki, Tanzania itaingia Dar es Salaam peke yake, wakati Kenya itaingia miji si chini ya mitatu.
Jambo moja la msingi tukumbuke, wakati sisi tukiwa Wajamaa tayari Kenya walikuwa mabepari.Sio aibu kukiri kuwa kwa sasa wapo mbele yetu japo tutawakamata soon.
Haa ha ha aibu sana kwa wasomi wetu kuiba material y watu na kujifanya yao.Ilimpasa Wakili Alberto Msando kudeclare kuwa hilo andiko lake amelichukua huku.
Ebu tusaidie sie vilaza,hivi mishahara ya Benki Kuu, NHC, TRA,TCRA,EWURA na kadhalika haitumii pesa yetu?haya mashirika ni ya nani kama sio yetu Wananchi wa Tanzania chini ya Amiri Jeshi wetu Mkuu Magufuli?
Hatuna shida na mishahara ya Vodacom,Bakressa wala Dangote companies.Sie tunadeal na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.