Mkuu samahani Sana kuna swali nje ya mada naomba kuuliza 🙏🙏🙏🙏🙏
Hivi unaweza ukatumia simu ya uwezo kama redmi note 8 halafu ukaweka memory card ya 2TB na ikafanya kazi kama kawaida??? Au itabidi kuchukua memory ndogo ili simu iweze kufanyakazi inavyotakiwa???
Hiyo TV yako ya Samsung ingekuwa Bora kama ingekuwa haina TV guard, halafu Kwa hii kata zima ya tanesco ikavumilia, maana hiyo hisence Imeungua lakini pia haina TV guard
Wakuu naomba msaada, wakati naangalia TV tanesco walikata/ umeme ulicheza kidogo yaani ndani sekunde mbili umeme ulikatika na kurudi.
Taa ya standby inawaka na nikiwasha TV Kwa remote au Kwa button yake Ile taa kama inazima kuonyesha TV imewaka halafu inawaka tena taa ya standby,
Wakuu tatizo...
Marekani imetangaza msaada wa mwisho wa silaha kwa Ukraine
http://opr.news/5fb95854231228sw_tz?link=1&client=news
Download Now
https://opr.as/share
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Bado hawajasema hawa
Kama ana uwezo wa kuona dhambi utakazofanya ukiwa duniani na bado akakuumba halafu baada kifo ukaenda motoni, maana yake Mungu/Allah alimuumba ili akuchome Moto, maana toka anakuumba alijua mwisho wako ni motoni
Kwa hiyo unataka kuniambia Mungu hana uwezo wa kujua mwakani utatenda dhambi mpaka siku ikifika halafu ukatenda ndiyo Mungu anajua kuwa wewe umetenda dhambi?????
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.