EXIM wanatoa MasterCard ila unafungua fixed account kama collateral ya hiyo card. Unaweza kutumia mpaka 80% ya hela uliyodeposit kwenye fixed account. Miaka ya 2011/12 huduma haikuwa nzuri kwani ndiyo walikuwa wanaanza. Nilipata nao shida nikiwa safarini kama sio tabia ya kutembea na cash...
Hivi sheria inasemaje kuhusu mtumishi wa serikali kutoka huduma chini ya kiwango? Nikiingia ofisi ya serikali ni stahili yangu kupata huduma stahiki. Nadhani Hilo ni kosa la ofisi ya serikali na si mgombea kwani alijaza vyema sehemu zilizimhusu. Hapa anapaswa awajibike nani?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.