Search results

  1. Mtoto wa Mkulima

    ONYO: Makongoro Nyerere kabla hujafa hujaumbika

    Kwani Makongoro ni nani kwa nchi ya Tanzania? Tanzania sio patrimonial country. Yeye nani kamwambia ataishi milele? nani anajua kesho hadi kuanza kuzungumzia afya ya mwingine? kifo , ugonjwa, ulemavu unaweza kumapa mtu yeyote. hata kama EL ni mgonjwa lakini waTanzania ndio wanampenda mgonjwa...
  2. Mtoto wa Mkulima

    Zambia Elections: Opposition (SATA) wins Presidential race!!!

    Bwana Michael Sata wa chama cha upinzani ameshinda kwa kishindo.
  3. Mtoto wa Mkulima

    Mtu aliyebadili jinsia azua kizaazaa Dar

    Huyu ni Aluu na ni mwenyeji wa Moshi, Boma ya Mbuzi kwa Gerage ya Muhamedi Sadiki ila ndugu zake wamemkana
  4. Mtoto wa Mkulima

    News Alert: Masha awasalimia Keko..

    Yeah huu ni usanii. Mbona watuhumiwa wengine hawapati coutecy call ya viongozi?Au utuhumiwa unaangalia ni nani na nani?
  5. Mtoto wa Mkulima

    Kifo cha Mhe. Chacha Wangwe na uchunguzi wake

    Mungu ailaze roho ya marehemu pahala pema peponi. Hili ni pengo kwa taifa zima. R.I.P Wangwe.
  6. Mtoto wa Mkulima

    Dr.Slaa ajiandikisha rasmi kuwa member JF.

    Karibu mpiganaji wetu tupambane na ufisadi kwa manufaa ya taifa letu.
  7. Mtoto wa Mkulima

    Jamani Huyu Mama namkubali: Africa the Next Chapter

    Huyu mama namkubali jamani. Nimejaribu kusikiliza speech zake zinavutia kiasi. http://www.ted.com/index.php/talks/view/id/152 http://www.ted.com/index.php/talks/view/id/127
  8. Mtoto wa Mkulima

    Africa a failed continent

    Sina comment Zaidi ila pia sio vibaya kutembelea hii site hapa. Ni nzuri sana kama ukipata mda wa kusikiliza hizo hotuba ni nzuri. Enjoy. http://www.ted.com/themes/view/id/45 http://www.ted.com/index.php/talks/view/id/127 http://www.youtube.com/watch?v=iG9CE55wbtY
  9. Mtoto wa Mkulima

    Africa a failed continent

    Hii kitu nimeipokea kwa e mail nyie mnasemaje? Imekaa kama vile imeandikwa na black ili kuwapa watu hasira. .
  10. Mtoto wa Mkulima

    Lowassa tena Yumo: Ufisadi Madawa MSD

    Shy Bwana siku hizi kaibuka na kamtindo ka kujipendekeza kwa wakubwa. Anyway haina haja ya yeye kwenda kula kiapo kwa hilo. kama ni ukweli aujua yeye na alichofanya ni kuweka hapa jamvini ili hizi taarifa zifikie mamlaka husika, kama kuna ukweli basi hatua zaidi zitachukuliwa. Mambo ya kula...
  11. Mtoto wa Mkulima

    Ngoma London

    Duh! Washikaji sio siri hiyo Title ilinistua kidogo "NGOMA LONDON" nikasema sasa tumekwisha na watu mnavyopokezana mademu kama mchezo wa kupokezana vijiti!
  12. Mtoto wa Mkulima

    Scholarship Ujerumani (waTanzania changamkieni tenda)

    Labda nimechelewa kuiona hii ila naona tarehe zimeisha pita siku nyingi mkuu. Ila tunashukuru kwa taarifa hii na wengine jamani mkipata issue muweke hapa. Watanzania wachangamkie. Kuna Mkenya mmoja aliniambia watanzania huwa hawataki kuchangamkia issue " hawako agrecive" ndio maana hata ukienda...
  13. Mtoto wa Mkulima

    Hivi Chuo Tanzania ni UDSM tu?

    Mkubwa naona wewe umeenda mbali sana. Hili tatizo la miundo mbinu nadhani ni kuanzia Chekechea. Tumeona sasa hivi shule za msingi zimefurika ile mbaya. Idadi ya wanafunzi hailingani na madarasa, walimu, vitabu vya kusoma na kufundishia, viwanja vya michezo na hata maji safi ya kunywa...
  14. Mtoto wa Mkulima

    Very Interesting

    Cigarette : A pinch of tobacco rolled in paper with fire at one end & a fool at the other. Lecture : An art of transferring information from the notes of the lecturer to the notes of the students without passing through "the minds of either". Conference : The confusion of one man multiplied...
  15. Mtoto wa Mkulima

    Love - Remember, Whatever happens, Happens for a reason

    By all Means... MARRY! I recently read that love is entirely a matter of chemistry. That must be why my wife treats me like toxic waste. David Bissonette When a man steals your wife, there is no better revenge than to let him keep her. Sacha Guitry After marriage, husband...
  16. Mtoto wa Mkulima

    What about R&D?..The Case of Foreign Aid Influx & 'A Japanese Expert' Invite

    STEV D. Ni kweli kabisa culture inaplay role kubwa sana kwa maendeleo ya sector yeyote mkuu ndio maana tuna watu wachonga vinyago wanatoka sehemu fulani, wahunzi wanatoka sehemu fulani, wafanya biashara wanatoka sehemu fulani, wavuvi wanatoka sehemu fulani. Hiyo ni utamaduni na geographical...
  17. Mtoto wa Mkulima

    Washauri wapya

    Hahahaha utafikiria jamaa walisoma nilichoandika kwenye ile thread ya Mjapana kuwa ipo siku tutakodisha hata raisi ili aje atuongozee nchi yetu. Its funny.
  18. Mtoto wa Mkulima

    What about R&D?..The Case of Foreign Aid Influx & 'A Japanese Expert' Invite

    Hapo mkuu cha muhimu na kwa kifupi ni kuondoa within and beyond border constraints. Jaribuni kusoma hii report hapa. Wawekezaji wengi huwa wanaiangalia hii report kabla ya kuwekeza. http://www.doingbusiness.org/ExploreEconomies/?economyid=185
  19. Mtoto wa Mkulima

    What about R&D?..The Case of Foreign Aid Influx & 'A Japanese Expert' Invite

    Mkuu sipingi ila nasema tuwatumie wataalamu wetu, tutumie taasisi zetu kama SIDO, SUA, DIT, UDS, ESRF, REPOA, VETA etc. Ni muhimu sana kuwatumia wataalamu wetu mkuu. Kama hatutawatumia watapractice vipi na lini? Mkuu unajua miradi mingi ya Donors huwa inakufa jamaa wakiondoka kwa sababu...
  20. Mtoto wa Mkulima

    What about R&D?..The Case of Foreign Aid Influx & 'A Japanese Expert' Invite

    Mkuu Dsm Mtaalamu aletwe sijapinga kuletwa mtaalamu, Kila nchi hata Japan yenyewe na US ina wataalamu kutoka nnje. Mimi ninachosema ni kuwa, sisi tunawataalamu wa ndani. hawa wataalamu wa ndani tunatakiwa tuwatumie. Tutawatumia je? Kama tunaleta mtaalamu wa nnje kwa mkataba lets say wa 5...
Back
Top Bottom