Watanzania wawili wamekamatwa kenya wakitaka kuvuka kwenda Somalia kujiunga na Alshabaab
---
Polisi wanawashikilia Abdirahman Shaffi Mkwatili(25) na Sadam Jafari Kitia(30) waliokiri walikuwa wakielekea kujiunga na Al Shabaab, baada ya kuwakamata Julai 12, 2023 wakiwa na daftari lililoandikwa...
Habari wakuu,
Naomba uzoefu wa ndugu ambao mnakopa Bank. Ambacho nataka kujua Makato ambayo Bank inakata kwenye mkopo.
Kwa mteja aliyeomba mkopo wa shilingi million 15 CRDB anaweza kuwekewa shilingi ngapi baada ya Makato ya kodi na kadhalika.
Naomba Kuwasilisha
Taarifa zilizotufikia leo asubuh ni kuwa mmiliki wa Kampuni za usafirishaji abiria ya Tashrif Hamoud Said amefariki Dunia
Innalillah wainna ilayhi raajiuun
=====
Mfanyabiashara maarufu jijini Tanga ambae ni mmiliki wa mabasi ya Tashiriif, Hamoud Said Al Habsy amefariki dunia asubuhi ya leo...
Usiku ni muda wa kupumzika.
Wakati wa kupumzika mwili hautakiwi kufanya kazi ngumu ya kusaga chakula.
Kula vyakula vinatakavyokupa afya na kukupa nguvu asubuhi.
Habari,
Leo nimekuwa katika tafakuri ya kuangalia ni privilege zipi tunazipata kama Raia wa Tanzania.
Hapa namaanisha katika nyanja zote za maisha Mtanzania anapata unafuu upi?
Nitoe mifano kidogo
Kwa mfano katika huduma za kijamii
- Mtanzania anapata unafuu gani katika huduma ya maji...
Habari wakuu,
Naomba kujua wapi naweza pata drip irrigation pipe lines kwa ajili ya kilimo cha mboga mboga kama nyanya.
Zinauzwa kwa urefu gani na bei ipoje?
Ahsante
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.