Wewe ndo mwenye akili na fikra finyu,pumbavu ni wewe mwenyewe......sio kila daktari kasomeshwa na serikali na sio msomi wa fani nyinginezo kajisomesha mwenyewe pasipo na mkono wa serikali: Kila kitu eti kasomeshwa na kodi zetu,una uhakika gani? Kuna ushenzi mwingi unaendelea mahospitalini ugua...
Umeletea umbea na ww moja kwa moja bila kutafiti umeruka kuja kutupotosha hapa n thus why unaambiwa umtaje hata humjui.....take note that mimi nikiwa mmoja wapo wa wagonjwa waliofanikiwa kuhudumiwa pale hivi karibuni,pale madaktari wapo wawili na wanahudumia pale hadi saa mbili usiku. Hebu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.