hata mm nmetoka hapo jana cjaamin kilichotokea mpaka imepelekea shule kufungwa na tamko lkatolewa kla mwanafunz arudi na lak 1.5 kisa upumbavu wa wachache wasiojali mbele yao kuna nn
kwa taarfa wanafunz wa shle ya sekondar njombe jana usku walichoma moto bweni, duka, pamoja nakuharibu mali za walimu wakipinga uongozi kandamizi shuleni hapo
bro nahc hujali mwelekeo wa taifa hil ambapo matokeo yake n aslmia kubwa ya vijana kuwa na taaluma hyo pacpo ajira asume watt wako wote wakisoma kozi hiyo.... eti wana malengo jiulize kinafuata nn
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.