Search results

  1. kibhopile

    Taja Taasisi ya Serikali ya Tanzania ambayo ilipaswa ifutwe mara 1 bila majadiliano ya Bunge

    Comments za watu[emoji1544][emoji1544][emoji1544], nacheka sana aisee[emoji23][emoji23][emoji23]
  2. kibhopile

    Kwanini wazungu wanakua/wanapata maendeleo wakiwa wadogo?

    Elimu yetu sisi imelenga kwenye uwe na uwezo wa kula na ndio maana mwenye nyumba na gari anaonekana ameshatoboa. Nyumba na gari mentality.
  3. kibhopile

    Ingekuwa ni hotuba ya mwendazake ungesikia...

    Ha ha haa, nimejikuta nasoma kwa rafudhi ya kisukuma
  4. kibhopile

    Kwa wanaume tu (vichwa vya familia)

    Well, Mengi yameelezwa na wanaume wenzangu Mimi niongezee tu sipendi Tabia ya “gaslighting”. Nimekosa neno la kiswahili hapa lenye maana ya moja kwa moja lakini ni ile tabia anakufanya u doubt kumbukumbu zako yaani anakataa kwamba hukumpa maagizo fulani, yaani anaruka mita mia kwamba hukusema...
  5. kibhopile

    Kama sio tajiri na huna asset, kusomesha watoto shule za gharama ni ujinga unaongeza umaskini kwenye ukoo

    Dah, yaani umeongea kama wale jamaa wa kulima matikiti kwenye pdf.
  6. kibhopile

    Men Talk: Una handle vipi michepuko yako?

    Narudia tena “TUNAPOCHEPUKA SIO KWAMBA HATUWAPENDI” sisi ni plug n play. Don’t take that on you kuanza kujiona sijui sio mzuri, sijui huthaminiki, sijui hupendwi etc. Mnatanguliza “Ego” sana kwenye hii ishu. The biggest mistake that you can make after experiencing romantic betrayal is believing...
  7. kibhopile

    Mjengo vyumba vinne ukiwa kwenye hatua za mwisho mwisho

    Mh, Hii rangi tukiishi humu, tutaishia kula karoti kama sungura,,
  8. kibhopile

    Hii nchi imepata viongozi walahi!!

    Bongo kutamu sana, yaani Kila siku kuna tukio lake la kuisindikiza, hatupoi yaani kama series za Hollywood.
  9. kibhopile

    Ni kwanini unajenga nyumba ya ghorofa?

    Unajua raha ya kutema mate ukiwa ghorafani wewe?
  10. kibhopile

    Huyu jamaa huwa mnamuelewa?

    Ye anaweza akawa anaigiza ila baadae wazee wa alphabet wakamwekea dau mezani, kimasihara nae anakuwa mwanaalphabet. Ndo inavokuwaga.
  11. kibhopile

    Dar es Salaam City in Photos

    Nice shots!
  12. kibhopile

    Gari lipi linafaa zaidi? Naombeni ushauri wenu

    Eti Harrier ni common kwani Gari kuwa common ni kitu kibaya? Si ina maana ndio rahisi kupata vipuri. Kwa hela aliyonayo Kila gari atayopata ni common tu.
  13. kibhopile

    Watanzania wengi ni masikini na wamezoea kuishi kimasikini

    Umaskini mtamu bwana, tupo tupo tu tunazurura zururura, afu joto kijasho flani amazing kamwili kanawasha tunajikuna basi tunajiskia rahaa.
  14. kibhopile

    JAY Z: Malumbano ya familia/ Kumpiga kaka yake RISASI / Usaliti kwa Beyonce/ Msamaha na Funzo kwa mabaharia wote

    Tunapopiga k za out haimaanishi kwamba hatuwapendi wapenzi wetu, sisi wanaume hisia za Upendo na kupiga mbupu out yaani ni vitu tofauti yaani na havihusiani. Kwanza hatukumbukagi yaani. Yaani si inakuwa kama game tu. Kwa hiyo Mwana akikupa ufunguo ukaingia nyumbani au akikuoa maana yake...
  15. kibhopile

    Car4Sale Magari mbalimbali mazuri yanayouzwa leo

    Aisee umenielimisha maan nimekuwa nikijiuliza sana unakuta namba DBP ila km 55,000 sasa unajiuliza hii gari ilikuja na km sifuri au?
  16. kibhopile

    Housegirl amchoma kisu mgeni baada ya kuambiwa “una roho mbaya kama sura yako”

    Dah! Kwa hiyo kuna haja ya kugatua madaraka ya house girl juu ya umiliki wa vitu vyenye ncha kali.
  17. kibhopile

    China imesaidia sana kuongeza matajiri hapa Tanzania

    Yes Mkuu, ni kweli Hakuna pahala umeandika Egypt sio Africa but umesema ni waarabu. So, Egyptians are not Arabs. In fact they prefer them selves to be called Egyptians(kufanana kwa utamaduni kusikuchanganye). I just comment ili uwe precise kwenye hoja yako kwamba tunafail as Tanzanians or...
  18. kibhopile

    China imesaidia sana kuongeza matajiri hapa Tanzania

    Hadi jana nimeona Egypt bado ni Africa pia!
Back
Top Bottom