Lengo kuu ni kutaka kuondoa ukomo wa mihura ya urais, Jiwe kawashika pabaya ccm hata wabunge watakaopitishwa awamu hii ni wale watakaoimba pambio la bwana asifiwe na aameeni.
Mimi siwezi kukubariana na hoja yako kwani kwa sasa nchi yetu kila kitu kipo kisisa mpaka ugonjwa wa corona sisasa tupu hatuambiwi ukweli, polisi wapo kisiasa mf kifo cha mwangosi,Akwilina,shambulio la Tundulisu na mengine mengi tu viko wazi lakini sijaona haki ikitendeka ni propaganda tu ndicho...
Ni kweli nakubariana na wewe lakini sio kwa uchaguzi ni kwa hila za serikali ya awamu ya tano kwa kutumia tume yao na nguvu ya dola.Kiukweli tume huru tuingie kwenye box la kura pamoja na kuvurugwa na nguvu ya dola kuzuia mikutano na kuwazushia kesi vionngozi wa CHADEMA bado ninaimani ya kua...
Mtoa mada umesema pamoja na kuandika pumba kwenye magazeti na kumsema vibabaya kwenye mitandao ya kijamii lakini Trump bado amelindwa kwa kutoondelewa madarakani. Mfano wako haupo sawa hivi Tanzania hii ya awamu hii unauthubutu wa kumuandika rais vibaya au kumkosoa achana na democrasia ya...
Nimekupata umeongea kwa uchungu sana.Hapa Tanzania viongozi wetu wamejinengea mazoea wanaona km watanzania kila siku ni wajinga na waoga wakitishwa kidogo wanatulia lakini hii hali tulionayo wamekalia boom.INAUMÄ SANA
Ulichoandikila nimekuelewa vizuri ila nimeona umeandika kwa mihemuko ya uchama unaangalia upande mmoja hao watu unaowatuhumu wangeamua kufanya kama Raila hii nchi tungeingia kwenye machafuko mimi najivunia sana viongozi wangu Mbowe, Lisu pamoja na Lowasa walitumia hekima kubwa sana baada tu ya...
Kwa usalama wa nchi yetu ni vigumu sana ila kukandamiza na kupandikiza mamluki ndani ya vyama vya upinzani ni hodari wenzetu wamefanikiwa we huoni kwamba Rwanda wameshapandikiza wanajibweda tu mpaka mfumo wa serikali kwa sasa unaedana na Rwanda hata Ikuru inalindwa na wanyarwanda
Duu Mbowe kweli kiboko ya CCM yuko ndani lakini ccm bado mnaweweseka, mbona mnalazimisha ajiuzuru maana sioni hata hoja ya maana kwenye uzi huu zaidi ya chuki yako dhidi ya Freeman Aikaeli Mbowe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.