Tulipeana onyo kuhusu kutoingiza maisha binafsi ya mtu na kampeni za uchaguzi wa mwaka huu ktk ngazi yoyote ile,tulitoa rai pia hata kwa vyombo vya habari vyenye mtazamo wa kuandika maisha binafsi ya watu waache mara moja,inaonekana huu ni mkakati maalumu wa chama hiki kizee na hata wizara...
Nimefurahia ujasiri wa Marando na mungu aendelee kumtia nguvu kwenye kusema ukweli na fitina kwake ziendelee kuwa mwiko kwake,sasa watanzania wamefahamu kwanini JK amekuwa akimlilia Lowasa tangu alipoachishwa kwa aibu uwaziri mkuu kwa kashfa ya richmond,kumbe wote wanaunganishwa na kashfa ya...
Na anapaswa kuwaeleza watanzania juu ya nafasi yake ktk kumiliki bandari kavu iliyopo pale kamata inayoitwa shariff na wakati waliwafukuza watu kwa kisingizio cha kujenga stand ya mabasi yaendayo kasi,
Nimeshangaa kumwona kinana akijaribu kuleta propaganda baada ya kuzungumza ukweli,anadai dr slaa na marando wanawapotosha watanzania kwa kuwataja kwa majina wahusika wakuu wa sakata la epa,nani ni mgeni wa kashfa ya epa?anajaribu kuficha nini na kwa maslahi ya nani?uadilifu wake upo wapi?ni...
ililkuwa kama zile sinema za akina rambo na waigizaji wengine,tbc kwa kile cha kulinda maslahi ya wakubwa wakaamua kukatiisha kurusha matangazo kwa sababu mabere marando alikuwa akifichua ufisadi wa kikwete,watu walishindwa kuzuia hasira zao na kuanza hata kmtupia makopo ya maji mtangazaji na...
KATIKA MOJA YA KAMPENI ZAKE KIKWETE ALIDAI KUWA KTK UTAWALA WAKE HAJAWAHI KUTOA RUHUSA YA KUNYONGWA KWA MTU YEYOTE KAMA SEHEMU YA KUJINASIBU KWENYE KAMPENI ZAKE,KIKWETE KWANGU NI MNYONGAJI MKUBWA SANA,MIKATABA YA HOVYO INAYOWATESA WATANZANIA CHINI YA UTAWALA WAKE SIO UNYONGAJI?KUWAKUMBATIA...
Sasa naona ccm wameamua kuhamishia kampeni zao kwenye magazeti
ya mwanachama wao shigongo kama ijumaa,risasi,champion,magazeti ambayo yanawadharirisha mama na dada zetu kwa habari zao za kupikwa,sasa inajdhihirisha wazi kuwa hiki ni chama cha wadaku,wafitini,mafisadi,tuamkeni na tuiwaamshe...
WANA KALENGA WALIKUWA NA HAKI YA KUTOMPIGIA KURA ABAS KANDORO KTK ZOEZI LA KURA ZA MAONI NDANI YA CCM,AMEONYESHA UWEZO MDOGO JUU YA SWALI LA KWANINI MAGARI TENA YENYE NEMBO ZA SERIKALI NA HATA LILE LA WAGONJWA LA HOSPITALI TEULE YA BUGANDO YA WANANCHI KUHOJI JUU YA HILO KWANI NI KODI ZAO...
inashangaza kuona rais aliyekaa madarakani kwa miaka mitano jinsi chama chake kinavyopata shida kwenye kulazimisha watu wamkubali mgombea wao kwa kuandaa mabango ya kila aina,kufanya kila aina ya umafia hata wa kupandikiza wagombea kwenye vyama vya upinzani ili kuvidhoofisha,hivi chama hiki...
TUKIKUMBUSHIANA JINSI WAZEE WETU WASTAAFU WA ILIYOKUWA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI WALIVYOTAABIKA NA MADAI YAO,KAULI YA VITISHO YA JK KWA TUCTA,HALI NGUMU YA MAISHA,MFUMOKO MKUBWA WA BEI,ONGEZEKO LA KISANII LA MISHAHARA,NADHANI NI KUSEMA INATOSHA,TWAHITAJI MABADILIKO,MUDA WA MABADILIKO NI...
UKIANGALIA HOTUBA YA JK KWA TUCTA,SUALA LA MASAUNI,SASA BASHE,ACHILIA MBALI UFUNGUZI WA HOTELI YA ARUSHA AMBAYE ILIKUJA KUBOBOMELEWA SIKU CHACHE BAADAE,UFUNGUZI WA TANKI LA MAJI LILILOPAKWA RANGI KUMBE LILIJENGWE ENZI ZA NYERERE,MSAFARA WAKE KUPIGWA MAWE MBEYA NA MENGINEYO NI VIASHIRIA TOSHA VYA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.