Aisee hii kitu ni kweli leo nimepigiwa simu na namba ngeni nimtumie namba ya bodaboda yupo sinza mori tena ni mwalimu anashida na mtu wa bodaboda... nikakumbuka kuna uzi jamiiforums,
Mkuu Ungeandika wajue wamiliki wa wasafi na sio mmiliki, Tambua kampuni kisheria na wamiliki ni vitu viwili tofauti, hapo kusaga anaingiaje?, Pili hoja yako ya umiliki wa asilimia haina mashiko wala uhusiano na kusaga. Tambua hata jeff bezos ni mmiliki na muanzilishi wa amazon na anamiliki 10%...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.