Jana mbunge wa viti maalum kupitia UVCCM Zainab Kawawa alikosa busara baada ya kujibishana kwenye mic na baadhi ya wabunge wa CDM baada ya Spika kuhairisha shughuli za bunge.Kwa kweli ni utovu nidhamu uliokithiiri,kitendo cha kuwaita wabunge wa upinzani na hasa wa CHADEMA kuwa ni FOOLS.Na leo...
Wanataka kuleta GAMBA lao linoutukuza u kaskazini? Wanafikiria ni rahisi? tena wasipoangalia watakuja shy watatolewa nduki.Tena huyo mbunge aliyediriki kusema Shelembi ndo nani bora kaondoka maana alikuwa mzigo kwenye cc akae mkao wa kula.A taondoka ataicha CHADEMA SHY inanasonga mbele.
GENIUSBRAIN Umemjibu vizuri sana huyo...Inahuuu! Kwa kuongezea tu Shibuda hata wafanyeji ndo kishaupata uwenyekiti.Kwanza atapita bila ya kupingwaTENA Wasije kulogwa wakapeleka Gamba lao SHINYANGA watahaibika.....
Leo kulikuwa na mdahalo wa wagombea wa ubunge jimbo la segerea,wagombea waliobahatika kuhudhuria ni wa TLP,CUF na CHADEMA.
Waliousikiliza kupitia wapo radio ni mashahidi zangu MPENDAZOE yuko makini.Nikipata picha nitawawekea mkanda mzima.
Hakuna cha sukari wala nn.Mnajua pale jangwani ni patakatifu sana papa keshafanya mkutano pale na mikutano mingi ya injili inafanyika pale pia.Sasa rais wenu na zile HIRIZI
na wale waganga 50 waliokuwa pale mlitegemea nn?
Magazeti yameandika na kamati kuu imefanya udicteta kumrudisha sasa moto unawaka segerea.Kiinua mgongo alipewa chote na ziada tena ili aje afanye kazi ya kuisambaratisha chadema.Sasa kweli kaweza coz viongozi wa kata wamegoma wote sasa atafanya kampeni na nani?Umaarufu kaupata juzi alipoondoka...
Kichuguu,hivi katiba ya nchi inaonyesha kuwa mbuge lazima uwe na madgriiiiiii?MI NAFIKIRI HEKIMA YA MTU KUJUA KUSOMA NA KUANDIKA tu.Hivyo don't worry with her strengths.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.