Unaona ulivyokilaza umeshahama kwenye hoja yako ya msingi,ndio maana nikakwambia unaitwa kule kwenye saizi yako.Siasaz hiziwezi kinachokushangaza nini kuchangia hotuba ya Rais?lazima waichangie ili kusaidia maboresho katika kuisadia nchi.Nenda kajifunze siasa bwana mdogo mdebwedo uliyevamia...
ushabiki wako ni kuwa untamani sana chadema wamtambue Rais na wamejitokeza watu kadhaa wamekuelewesha lakini hutaki kuelewa lakini baadaye nikajagundua kuwa kwanza umekaa kishabiki zaidi kuliko kujua ukweli pia jukwaa hili sio saizi yako ndio maana hulewi nimezoea kukuona kule na mashairi yako...
Sasa unalia nini?umekazana kweli kulialia.halo halo.Chadema inanyima usingizi eeh.Na bado mtapelekwa puta miaka mitano ijayo mpaka lichama lenu lililokiwsha anzajifia lijifie.Roho zimewatoka maskini manbishana na ukweli duu kweli ukiwa kilaza unakazi ya ziada.
Haki ya nani,hii nchi iko kazi.Ufisadi kila kona..Rais Kikwete kila siku unaingizwa mkenge.Umejiongezea historia ya kuwa Rais aliyedanganywa mara nyingi kuliko marais wote hapa Tanzania. Unadanganywa mpaka kwenye noti..Hii ni aibu nyingine ya taifa.
Pole sana Shy.Nahisi hukuwa na nia mbaya ila ndio hivyo tena umegusa kipenzi cha watu.Pole sana siku nyingine soma alama za nyakati.Pole and take it easy.
Mlete kwangu nimfundishe kuongea...Niachie niwe naye week end hii tu akirudi atakuwa muongeaji mzuri.Atakuambia asante darling,usiku mwema honey..Mamii Miss You,unarudi saa ngapi n,k.Fanya hivyo.
Mmh mada hii imenikuna.Mi nilifikiri wanawake wa kiswahili tu ndio wana imani na libwata kumbe hata wasomi...MJ1 kulikoni ingawa nimekuelewa kwa kina kuhusu hili.
It is freedom of worship...
Mwee dunia hii kwa udaku.Sina hamu.Kabadili dini lina na wapi. Kanisa gani limempokea?
Kwani hivi sasa Zitto anacheo cha chini? hivi Naibu Katibu Mkuu wa chama ni cheo kidogo? kiutendaji kinatofauti gani na Katibu Mkuu au Mwenyekiti? ni kuongoza vikao au status...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.