Kesi bado haijaisha, kwa kushirikiana na mwanasheria anaetutea tuko bize kurekebisha dosari zilizojitokeza na kesho tunafungua kesi upya, tumeisha itaarifu ofisi ya spika ndio mana ametulia kwanza! 😂
Tatizo beki wetu wa kati ana kimo kama cha Joti, pamoja na kujitutumua kuruka kote kule, lakini wapi, ni washambuliaji wa Algeria ndio waliokuwa wanawini mipira na kutushambulia.
Mpaka hiyo kesi ije kuisha uchaguzi mkuu wa 2025 utakuwa umeshafanyika, kwa hiyo covid 19 wanaendelea kuinjoi ubunge wao to the fullest. Walio na wivu waende chooni wakakate gogo. 2025 ikifika covid 19 watakuwa wameshafanya maamuzi wahamie chama gani ili wagombee ubunge tena. That's all about...
Mimi ni kafiri ila sio kama wewe, mana kafiri wa aina yako na mpumbavu hawana tofauti, mana wote hamna ubongo wa kuelewa somo lolote lile. Tumeshaambiwa kuwa mfungo wa mwezi Ramadhani ni ibada ya waislamu pamoja na mambo mengine pia inahusu kujizuia kula tokea jua linapochomoza hadi jua...
Kama jina la Yesu halikumsaidia yeye mwenyewe mwenye jina hilo kwenye maombi yake ya kumuomba babaake alioko mbinguni kumuepusha na kikombe cha umauti kilichokuwa kinamkabili wakati anaenda kusulubiwa, matokeo yake akasulubiwa na kufa msalabani, iweje jina lake hilo hilo liweze kukufanyia...
Kama jina lake yeye mwenyewe Yesu halikumsaidia kwenye maombi yake Yesu ya kumuomba babaake alioko mbinguni kumuepusha na kikombe cha umauti kilichokuwa kinamkabili wakati anaenda kusulubiwa, na matokeo yake akasulubiwa na kufa msalabani, iweje jina lake hilo hilo liweze kukufanyia muujiza wewe...
Na baada ya Mtibwa kutwaa ubingwa wa ligi kuu bara mwaka huo walilitia aibu taifa kwa wao kushindwa kusafiri kwenda kucheza mechi ya marudiano ya mtoano ya awali katika mashindano ya caf champions league iliyowapelekea kula ban ya miaka 3 pamoja na faini kutoka CAF.
Uto wote kutokea kwa yule msukule nguruwe pori hadi kwa bwana wake muuza magodoro akili zao zinafanana, eti hawajaona kama ni kosa kwa Dickson Job kumkanyaga Ngodya kwa makusudi 😂
Licha ya timu 15 za ligi kuu, isipokua moja tu, kuvaa logo yake na kuweka mabango yake viwanjani, muuza magodoro, ambae ni bwana wa yule mchumia tumbo, ameona magodoro yake hayauziki bila kutangazwa na chama kubwa Afrika mashariki na kati Simba Sc, ndio mana ameshindwa hata kuwalipa hizo timu 15...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.