Mimba itakua yako kweli boss, ni kitu cha kawaida wanawake wengine kuendelea kwenda period hata kama ni wajawazito. Ko kama hicho ndo unashikiria kama sababu mimba si yako then ujue ni yako kuanzia leo. Hongera bro!
Asali zipo za aina nyingi kutokana na maua husika nyuki waliyotumia kutengeneza asali na uzito hutofautiana. Ila ndoo ya lita ishirini inaweza fikia kg 35 hadi 40
Tuwasiliane kwa 0753196849 kwa maelezo zaidi.
Kit yetu inaanzia mizinga 12 ambayo inajumuisha;
Mizinga 12
Machine ya kukamulia 1
Chujio 1
Practical training
Hive tool 1
Naomba tuwasiliane kwa namba 0753196849 kwa maelezo zaidi
Hi Patrick,
Kwanza pole kwa kuchelewa kujibu, natumaini bado sijachelewa kukupatia jibu.
Maji ya kisima ni sahihi na kwa umbali huo bado sio shida kwa nyuki kwani wana uwezo wa kufuata majia hata zaidi ya kilomita 3.
Karibu.
0753 196849
Green Investment (T) Limited we are looking for Agronomist experts in the following fields;
- Crop protections / chemicals
- Drip Irrigation
- Greenhouses
- High breed seeds
Responsibilities;
- Aiding in the decision making process of customers for decisions related to agronomy
- Handling a...
Habari ndugu yangu,
Naomba nichukue nafasi hii kujibu maswali yako japo ni ya muda mrefu ila inaweza kuwa faida kwako na kwa wengine ambao itakua mara yao ya kwanza kutembelea thread hii.
Majibu:
1. Nyuki wakubwa wana faida zaidi kwani zaidi ya kupata asali utapata mazao mengine ya nyuki kama...
Habari wana jamvi,
Nimevutiwa na maelezo ya mtoa mada nikaona sio mbaya nikachangia pia.
Me pia ni mkulima wa vitunguu, nyanya kwa kutumia greenhouse, hoho, ufugaji wa nyuki kwa njia ya kisasa na matikitiki. Nnachoweza kusema hii sekta ya kilimo ni nzuri sana na bado ina nafasi kubwa sana ya...
Sio lazma kusubiri nyuki waingie katika mizinga yote hamsini, ipo njia ya kuwezesha mizinga yote kuwa na nyuki kwa muda mmoja. Hayo yote utayafahamu ukifika ofisi zetu
Eneo la square meter 1200 litatosha vizur kabisa na kubaki nafasi. Mizinga yetu haiihitaji kutundikwa juu ya miti, unaweza kuipanga katika stand au ukajenga bee house ya kuingia mizinga 50 yote
Sent from my iPhone using JamiiForums
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.