Kwa wale tunaomjua Mawalla; subirini siku si nyingi mtakuwa shocked na ufisadi wake wa hali ya juu; by then nadhani atakuwa South Africa akwenye ofisi yake wakati sisi tukiwa Tahrir Square. Just wait and see. Mtu anaemtetea amuogope Mungu
I wouldnt mind if the cat is black or white, as long as it catches the rat, and in this case the rat is right in the mouth of the cat; now you tell me if the rat which is already in the mouth of the cat can bite the cat ... keep up Mwanakijiji, I think we need several of you in Africa
Oh, well, very sad indeed; mashujaa kufa kifo cha kimya kimya inatia huzuni sana. Angekuwa mwanasiasa, au hata mwanamichezo, au mwanamuziki, hata asiye na CV ya kumkaribia angetangazwa na wananchi wangepata nafasi ya kumuombolezea at least familia yake wangejua kuwa mpendwa wao hakuwa nobody...
Happy New Year To You all!
Yeyote anayefahamu kampuni zinazohitaji "online surveryors" au kazi yoyote mtu anaweza kufanya kutoka kwenye computer yake akalipwa; kwa maneno mengine 'work from home jobs' naomba aniandikie PM.
Only genuine ones please!
1. Kikwete ni rais wa kwanza Tanzania kuzomewa na wananchi katika ziara ndani ya nchi.
2. Kikwete ni rais wa kwanza Tanzania kukumbwa na malumbano na wafanyakazi mara kwa mara
3. Kikwete ni rais wa kwanza Tanzania kuanguka jukwaani
3. Kikwete ni rais wa kwanza Tanzania kususiwa na wabunge...
hakuna mwenye kesi anayetanguliza kuweka hadharani ushahidi wake kabla hata hajafungua mashtaka; tena kwa nchi ya mabingwa wa kuchakachua huo ushahidi ukitolewa tu leo kesho washamaliza kuchakachua.
Likewise kuwataka CHADEMA kuandaman ni kupigana mieleka na nguruwe, kucheza matopeni ndo mahali...
Tume ipi jamani; its as good as dead. Walishakabidhi integrity yao siku nyingi. Imagine sheria inasema akishaapishwa Rais huwezi pinga; mtu anapinga beforehand kwa kufuata sheria; bado wanaendelea; this people wanastahili kuchapwa viboko; I wish yule aliyepigwa makofi na Mbowe angekuwa...
Mkuu Mwanakijiji,
watu wana ugumu tu wakutotaka kufikiri. Nimemsikiliza Mbowe akiongea BBC asubuhi; nimemsikia Slaa akiongea hapa.
Kuna mambo ambayo hayana ubishi:
1. CHADEMA wanatambua kuwa NEC wamemtangaza Kiwete..sorry, I mean Kikwete kuwa kuwa Rais wa Tanzania.
2. CHADEMA wanatambua haki zao...
Ole wa hakimu anayesikiliza hiyo kesi! kama mkuu kashasema hivyo ujue ni ujumbe tosha kuwa
1. kesi iishe kabla ya tarehe 31
2. Mshtakiwa aachiliwe
Here we go. Mtahangaika kuleta data za wezi na mafisadi wa seriakli ya CCM; KAMA CCM IISHIVYO, HAKUNA FISADI ATAFUNGWA!
Hivi ndugu yangu huwezi tu kuona hiyo haraka waliyokuwa nayo kuandaa risiti; jamani, be fair to the guy who was given the assignment; kapigiwa simu ya kuitwa mahali[mi sijasema ni wapi niacheni!] akapewa amri ya kutengeneza risiti za kupinga madai ya Slaa; hivi unategemea angepata akili ya...
.. to mention but a few!
Nimekuwa nikifuatilia midahalo ya TBC1, CHADEMA wana vijana hatari sana wa kujibu hoja za papo kwa papo; only that kwa sasa wote wako majimboni; I bet Kinana had a good sleep on that day
Sure. Hata mimi niliwahi kupata hayo maelezo kutoka kwa maafisa. Lakini kwa kuwa CCM ndo Serikali tegemea huo ufafanuzi toka kwa mkuu wataasisi muda wowote kuanzia sasa. Hii ndiyo Tanzania; si bure Zanzibar wanapaki virago vyao!
Good question. Katika kikao cha bunge cha bajeti sijawahi kusikia Wizara yoyote, au taasisi, au whateve, wakitoa taarifa ya "MAPATO YATOKANAYO NA KUKODISHA NDEGE YA SERIKALI" I stand to be corrected, kama kuna mtu ana hiyo taarifa ya Hansard Please!
I wish we could forget about the claim of Kiranga's so called hypocricy for a moment and read the post between the lines.
I wouldnt care less whether Kiranga is CCM or CCJ gone dead if only he/she can analyse issues critically; which in my opinion he/she has gone way far ahead of his/her...
Mwanakijiji you made my day!
if the truth be told; jamaa kapata mtaji. Hakuna mwanamke mwenye akili atakaa na mwanaume ambaye akizidiwa, na mwenzake atafungua kesi mahakamani; yaani mtu atajirikie out of somebody else's sin? hiyo si ndiyo bloody money? Now which one is the better evil; Slaa...
wakati namshauri Rev kule kwenye thread yake ya How CHADEMA MISCALCUlATED... sikuwa nimeona hii; na sasa nimeona kumbe hata hamna kile nilitarajia; at least Rev came up with 'arguable argument'
Kwa kuangalia kwa macho ya kawaida jamaa yuko weak, tena very weak; that smile is calculated; Oh My! can somebody be bold enough to force him to take a rest? at least for a week; hakuna mtu anataka ku-compete na physical weakling [for lack of a better word]; am sure Dr Slaa is not enjoying this
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.