Kwa kuwa unajua hesabu, na kwa kuwq umbali wa Dar Moro unajulikana, hebu tupe na spidi ya hiyo treni ili iweze kutumia hizo Dk 45 (tufanye kwamba haisimami kabisa hata stesheni moja).
Nadhani inategemea unatumia kifurushi gani. Kuna vifurushi ukivuka kiasi fulani cha matumizi (mfano unlimited bundles) kasi inashuka sana baada ya hapo. Haisaidii kubadili simu maana restriction ipo kwenye line yako.
Binafsi natumia bundles zao za 4G, nafurahia huduma.
Sent using Jamii Forums...
Njia sahihi ni kila anayeingia toka China au maeneo mengine yenye athari kubwa ya ugonjwa ni kuwa quarantined angalau kwa wiki 2 akifika nchini. Kuna Wachina wana mikataba ya kazi hapa nchini, na walirudi kwao kwa ajili ya likizo. Kuna wafanya biashara, n.k. Lakini pia kuna raia wetu na wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.