Mapenzi ni kuridhiana, ukiridhika na mtu na kweli moyo ukamhusudu, hata awe na kibamia, utamuona kama ronaldo vile akiwa uwanjani.
Ila zaidi yapo, hata awe na mguu wa mtoto, lazima utafute pa kupoozea moyo wako.
Wengi wenu mnafanya wrong choice, ndio hayo yanawakuta
Acheni upotoshaji kwa kitu msichokifahamu, huo ni ugonjwa, unawatokea sana wakina mama wengi,especially baada ya kupata watoto au mtoto, tendo la ndoa kwao linakuwa halipo kabisa, kuna so many reasons zinazosababishwa na huo ugonjwa, of course ukienda tu hospital za kawaida watakwambia hana...
Acheni unafiki, mpaka mnaboa kwa kweli, mtu akiwa ccm fisadi, akienda ukawa msafi(alisingiziwa), huyo huyo chenge au tibaijuka angehamia ukawa angekuwa msafi.
I hate siasa, mijitu miongooooooo, inadanganya na kudanganywa mchana kweupe, thats why i take siasa as a game (I bet and get cash at...
Thank you very much, umeongea la maana, kwasababu nakerwa kweli na watu wa namna hii wanaojidai wanataka habari za maana ila najiuliza wanafuata nini kwenye jukwaa hili la ma celebrity??
Wanajiona akili na ni bora kuliko wenzao wakati wao ndio wajinga, huwezi kwenda kwenye strip club...
I'm not ccm wala ukawa, ila nawaambia kwamba Mnajidanganya na poll zenu, kwasababu wapiga kura wengi ni wale lala hoi ambao hawajui kesho watakula nini, hajui hata hiyo poll ni nini na inapigiwa wapi, so why waste a time , tusubirie tu hiyo october. Unless kama mnafanya hivyo kwa kujifurahisha...
Ukiona huelewi ujue ni dalili za uzee, nakumbuka enzi zile tulipokuwa wadogo, neno mambo na poa lilikuwa linapigwa marufuku, leo hii ndio salamu kwa wadogo na wakubwa.
neno bongo lilipigwa marufuku, sasahivi kila mtu anakubaliana nalo, kwahiyo ipo siku tu mtakubali hiyo xaxa.
ila inakera...
akitaka game mkaushie kwa muda, akiuliza vp mbona unampotezea? mwambie unauguza maumivu ya chuchu, lazima aache unless kama atakuwa na pengine pa kupoozea
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.