Habari wana jamvi ,
Nina toyota crown nimekuwa nikiitumia kwa mda mrefu ,
Leo katika kuwasha gari asubuhi ,ghafla nakuta gauge /mshare wa mafuta haufanyi kazi vizuri ,yaani unashuka na kupanda mafuta yapo robo tatu tanki.
Vile vile odometer yaani kilometa za gari hazitembei kabisa ,yaani...
Habari,
Mimi ni mkazi wa Dar es salaam
Umri - 33.6
Kazi - Ajira/biashara
Dini - Mkristo
Elimu - Masters
Rangi - mweusi na mrefu kiasi
Mtoto - Sina mtoto
Natafuta binti
Umri - 24 hadi 29
Kazi - Sio lazima
Elimu - Form 4 na kuendelea
Dini - Ikipendeza mkristo dhehebu lolote ila mcha Mungu sana...
Habari Za majukumu wanajamvu,
Katika pitapita zangu, nimekuja tembea mkoa wa tabora, na nimeupenda, naweza weka kambi kwa mda .
Naombeni ushauri wajuzi wa huu mkoa ,Biashara gani naweza fanya hapa mkoani kwa mtaji wa mil 5 hadi 10?
Nitashukuru kwa ushauri.
Asanteni
Habari wanajamvi,
Kutokana na bei za magari zimepanda sana, nahitaji kununua gari used la mkononi/yaliyotumika tanzania lenye hari nzuri. Bei kuanzia mil 7 hadi 12.
Wapi ntapata wanakokopesha magari used kwa rejesho la kila mwezi.
Uwezo kurejesha laki 5 hadi 8 kwa mwezi. Na natanguliza mil...
Habari za leo wadau
Natafuta scania la kukodi kama mtu hana mizigo mimi ninayo
Namlipa kwa mwezi kiasi tutakacho kubaliana au kwakila mzigoninaosafirisha
Scania iwe nzima
Kwa sasa sina uwezo wa kununua used kutoka nnje
Nalipa pesa inadvance kila safari
Akhsante
Nakaribisha maoni
Hi kwa niaba ya mdau wangu
Natarajia kuingia mjini kesho
Mwenye Ups tajwa hapo juu msaada ili nisizunguke sana
Uweso
Kva 10 pc 2
Kva 20. 3:3phase pc 2
Kva 30 3:3 phase 1pc
Hizi kabla ya ijumaa narudi nazo morogoro
Weka quote hapa au inbox
Msaada nimepiga window 10 nikaformat data
All files zimepotea
Msaada naweza kuzipata data ?
Kama ndio nifanyaje? Nani atanisaidia au wapi nitasaiidiwa?
Akhsante
Habari,
Nahitaji software ya gharama ndogo, web version kwa ajili ya kusimamia operation zote za appartment 8 sehemu tofauti na inventory kwenye garage na godown.
Pia ya transport na logistic low cost web version.
Nawasilisha
NB: ikiwa imedesigniwa hapa hapa Tanzania itapendeza pia
Habari zenu wanajamvi, wakubwa zangu shikamoni!
Katika maisha haya yanayoenda kasi tofauti na karne ya 19 na 20, suala la kutoboa linahitaji kuwa na akili ya kujiongeza sana na mengine mengi.
Katika kufanikiwa kimaisha kuna mambo mengi sana unayafanya, lakini kuna moja tu utalifanya, basi ndio...
Habari wana jamvi.
Nina mtoto wa dada wa kiume anamiaka 28 , amemaliza degree ya accountancy mwaka 2017 , nilimuingiza kwenye biashara , sasa anataka pata ajira biashara ngumu.
Hana uzoefu wa kazi ya uhasibu yoyote ,ila ni muelewa wa haraka na yupo tayari kujitolea mkoa wowote tanzania...
Ndugu wanajamvi,
Kwa muda baada ya kuona watu baadhi ya makampuni yakisema yametumia mabilioni ya fedha kwa suppliers wazawa haswa makampuni makubwa.
Mfamo migodi, UN, viwanda vya cement, mahoteli kimataifa, Total, Songas, Oryx, Puma energy ni hasa ya kigeni.
Nimevutiwa kujua haya.
Naomba...
NDUGU ZANGUNI ,NAOMBA MSAADA JINSIYA KUAPPLY SECOND ROUND ,JE TUNAINGIA KWENYE CHUO HUSIKA KWA KU LOG IN KAMA MARA YAKWANA AU KUNAJINSI MPPYA..... PIA NIMEINGIA VYUO VIMEFUNGA ADMISSION ,WAKATI TCU WANASEMA WAMEFUNGUA ADMISSION MPYA.
MSAADA WA HARAKA JAMANI MAANA TAR 10 MWISHO
Habari ndugu zangu wa JamiiForums,
Nilikuwa naomba msaada wa kujua moja mbili tatu ya biashara na ukulima wa maharage machanga, naomba kujua mfano kwa upande wa Arusha nasikia kuna makampuni yanayoingia mkataba na wakulima na kununua hayo maharage, ningependa kuyafahamu.
Mwisho naomba kujuzwa...
HABARI WANAJAMVI ,KUTOKANA NA KUVUTIWA NA BIASHARA YA KUCHUKUA STOCK YA MAHARAGE NA KUUZA KWA JUMLA MIKOANI NA DAR ES SALAAM.NAOMBA WAZOEFU MNIDSAIDIE KUJUA JINSI HII BIASHARA INAVYO FANYWA NA WAZOEFU.
1.MTAJI NINAO KIDOGO ,MIL 7
kampuni yetu tumeamua kuibadilisha toka unlimited to limited vivyo tunaitajika kuandaa taarifa za kifedha AUDITED .
Naomba msaada wa kupata CPA ambaye anaweza kuniandalia mahesabu .
naomba tuma inbox contacts kama wewe ni CPA na kama waweza pia kunisaidia
kumpata CPA mwenye kampuni ya...
Habari wana jukwaa. mwezi uliopita niliibiwa pesa ,laptop na mfanyakazi nyumbani na kutoroka na vitu baadhi. katika kwenda polisi nikafungua kesi lakini shida imekuwa kwenye kumpata mtuhumiwa.
mara baada ya kuibiwa yule kijana alifunga simu ila alikuwa akiifungua usiku mpaka leo huwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.