Kweli mkuu kuna ukweli ,na ukiwa na michepuko mingi ndio kwisha.
Sasa sijui wanashida kweli, sababu ukitongoza mwanamke haipiti siku tatu vizinga vinaanza , inabidi ugharamie vitu vyake vingi
Uzuri sikuya kifo kilaa mtu anakiri uwepo wa Mungu, ukishiba kande utasema hayo maneno
Waliokana uwepo wa Mungu wanasayansi wa dunia walikiri wakatiwakufa . Sembuse Wewe mwakatumbula?
Siku ya kiama kila mtu atahukumiwa sawasawa na hesabu zake
Pia Mungu anahukumu kwa kutoa laana ya vizazi na vizazi
Usishangae analipiza kwa watoto wako na wajukuu zako
Kwa hiyo do right things bila kumuonea mtu
mimi nakaza
Kama umeamua kununua gar kubaliana na yote
Usipaki mda mrefu litasumbua uwe unaboost weekeend
Pia unawaweza panga siku za kutoka balo ubalance hesabu
Mfano wiki 2 gari , wiki 2 daladala
Ofisi ya DCI itenganishwe na ofisi ya polisi
Iwe independent km FBI ya usa
Pia ikiwezekana. TISS wahusishwe kweenye uchunguzi
Inamaana wameshindwa daka mawasiliano ya watuhumiwa na location za siku za nyuma?
Inamaana hapo kuna hela imetembezwa kwa hadi mashahidi walegeze ushahidi?
Wewe unasema sio masikini ,ila wapo wanaoona huyo ni masikini, kama azim dewji hapo anasema baba yake alikuwa masikini wakati anafariki ,lakini labda alikuwa anaingiza equivalent na hiyo . kumbuka hio ni dola 8000 na ni chini ya dola 100,000 kwa mwaka .
Kuna level za utajiri na umasikini pia .
Mwingine akiingiza mil 20 kwa mwezi atasema yeye ni masikini ,lakini wewe unaona ni mwenye pesa .
labda anamaanisha umasikini wa chini ya dola milioni moja wa baba yake .
Habari wana jamvi ,
Nina toyota crown nimekuwa nikiitumia kwa mda mrefu ,
Leo katika kuwasha gari asubuhi ,ghafla nakuta gauge /mshare wa mafuta haufanyi kazi vizuri ,yaani unashuka na kupanda mafuta yapo robo tatu tanki.
Vile vile odometer yaani kilometa za gari hazitembei kabisa ,yaani...
Habari wana jamvi ,
Nina toyota crown nimekuwa nikiitumia kwa mda mrefu ,
Leo katika kuwasha gari asubuhi ,ghafla nakuta gauge /mshare wa mafuta haufanyi kazi vizuri ,yaani unashuka na kupanda mafuta yapo robo tatu tanki.
Vile vile odometer yaani kilometa za gari hazitembei kabisa ,yaani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.