Inaonesha wengi wetu tunashindwa kuelewa kuwa suala la ndoa ni utaratibu uliopangwa na Mwenyezi Mungu. Tujue kwamba mwili wa binadamu umetengenezwa katika mazingira ya kutamani na kuchoka. Mimi nachukulia suala la mapenzi kama chakula. Mtu kama umeshiba utahitaji chakula? Katika ndoa, mwanandoa...
Nijuacho mimi pingu ni kama moja ya vifaa kama bunduki. Nadhani utaratibu wa kupata pingu utakuwa hauna tofauti na jinsi silaha nyingine kama bastola zinavopatikana. Kwa hiyo kama mtu amefuata utaratibu wa kupata hiyo pingu sio tatizo, na umiliki wake utakuwa ni halali mbele ya sheria.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.