sio double standard huwezi linganisha nesi au mwalimu na polisi, mbona wanajeshi awahakikiwi? polisi 800 ni wengi sana hofu yangu km ni kweli tusijezalisha kikundi hatari cha watu wasiofaa maana mtu akikata tamaa hufanya chochote ili ajipatie kipato
hii haijakaa sawa wallahi HAO KAZI ZAO HAZIITAJI HATA ELIMU YA KAWAIDA ZAIDI YA ELIMU YA KIJESHI WANGEPEWA MUDA WAKARUDI KUSOMA ASEE 800 kama kweli wakiunda kikosi huku mtaani itakuwa sio afya ktk swala la amani
SERIKALI ILISHAWAHI KUSHINDA HIZI KESI? NO SINA KUMBUKUMBU
HATA MKOLONI ALIMSHITAKI NYERERE KWA UCHOCHEZI KISA ALIKUA AKIDAI UHURU
ZIMA MADAWA WASHA UCHOCHEZI
HIZI SWITCH NAZIPENDAGAAA
MANENO YA WAZIRI NI MANENO YA SERIKALI, JE MANENO YA MWENYEKITI WA CCM MKOA WA GEITA NI MANENO YA NANI BURGER SELFIE MOVIE...... MVUA NYESHA TULIME MTAMA SIE SEMBE MWACHIENI EL CHAPO
JAMANI WAKUU HIVI HII PREMIER NDIO UTARATIBU MPYA WA KUFICHA MECHI AU NI KWANGU TU, MECHI ZA LEO NA KESHO HAZIONEKANI, NA JANA ILIKUA MECHI ZA JANA NA LEO HAZIONEKANI
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.