Huu ni muda muafaka wa mama Albina Chuwa kupumzika sasa na majukumu ya NBS.
Huu mchakato wa sensa unedhihirisha kuwa hawezi tena endana na kasi ya zama za sayansi na teknolojia.
Amelitumikia sana na vyema taifa,tunamshukuru kwa hilo.
Mh. Samia S.H liangalie hili tafadhari.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.