Ndugu zangu tunatakiwa kuwa makini kipindi hiki ambacho watoto wapo free majumbani. Kama una watoto ndani basi chunguza kabla hujaondoa chombo cha moto, hasa magari.
Hakikisha chini ya uvungu hakuna kitu, washa chombo chako kaa kwa sekunde kadhaa ili kumpa mda alioko chini atoke, kuna mifugo...
Wakuu kwema nilikuwa nahitaji kujua bei ya kiwandani au jumla ya hvyoo vifaa hapo chini nilikuwa nataka kufungua kihardware kwa vitu vifuatavyo
Square Pipe 1.5 inch 1 inch pamoja na robo tatu
Flat bar inch 1
Mashit mm 1.2
Natanguliza shukran zangu za dhati
TTCL nimeshangaa nimefika mkoani Simiyu hamna coverage, hivi kweli mpo makini na biashara au kwa vile shirika ni la umma ndo hamjali huo mkongo mlo chimbia nchi kwa coverage hii ni aibu.
Ukiwa mkoa kama Mwanza mjini kati poa ukitoka tu mawaa haiwezekani mkoa mkubwa kama Simiyu wenye watu wengi...
Kwenye nyimbo ya mahabuba wewe na aslay uliimba maneno matamu sana kama
''Wacha wapaki marange nimependa bodabodo"
"Chai kwa andazi wala sinagashida"
"Uniletee boga ninapomiss baga"
Sahivi umeimba na jaymelody umeyakana maneno yako kwa muuza samaki baadhi ya mistari
" bora kuachana unanizingua"...
Natumai mu wazima wenye afya dhumuni langu ni kutaka kunisaidia juu ya kutengeneza kiwanda kidogo cha kuzalisha bidhaa za plastic kama vikombe,mabakuli,beseni,hotpot,majagi na nk lengo langu ni kujua
upatikanaji wa mashine/bei na vitu vingine vinavyohusiana na mada tajwa hapo juu nakaribisha...
Shirika la Ndege Tanzania ‘ATCL’ kupitia kwa Mkurugenzi Mkuu, Ladislaus Matindi amesema kuwa wamekusanya kiasi cha Sh. BILIONI 9 kwa kipindi cha miezi minne tangu ndege mbili za Bombardier Q400 zianze kufanya kazi.
‘Tumejitahidi sana kila tunachokipokea kinaingia katika mfuko wa shirika, mapato...
Za weekend najua mtakuwa mmpumzisha akili kidogo kulinga na mihangaiko ya wiki mzima jana niliangalia matangazo mubashara kutoka ikulu ilikuwa ni Maswali kwa Rais jpm na wahariri wakati wanamaliza wakachomekea kidogo mwimbo wa mrisho mpoto sizonje kumbe ule wimbo aliimbiwa mkulu sasa...
Ndege ya Urusi iliyofika hivi karibuni Syria ina uwezo wa kupeleleza mamia ya kilometa ndani ya
Uturuki ikitokea kituo cha ndege kilichopo Syria
Kufuatia kufungwa kwa anga karibu na mpaka wa Syria na Uturuki, Kikosi cha Urusi kina uwezo wa kujua kila kinachoendelea upande wa Uturuki kwa...
Mahakama ya Haki za Binadamu ya Afrika (AfCHPR) katika kikao chake kilichoanza jijini Arusha, itapitia maombi ya rufani ya mwanamuziki maarufu nchini, Nguza Viking na John Viking dhidi ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Hata hivyo, taarifa iliyotolewa na mahakama hiyo jana, ilieleza kuwa kesi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.