Mada mhimu na kwangu, niko intereseted na hii kitu, ila connection na resources zake ndo sina. Wataalamu jamani tupeni dondoo mhimu hasa namna ya kupata Mbegu bora kwa ufugaji wenye tija.
Mkuuu sorry nashindwa kutofautisha vyema Bachelor of Education in Science na Bachelor of Science with Education Tofauti kubwa hasa iko wap,wahitimu hao wawili watatofautiana nini baada ya kuhitimu. Nitashukuru kunielimisha kwa hili!
Duuuu sasa mkuu umeingia kwenye akaunti yao kufanya nini,ungepotezea labda ukilogin tu kwenye akaunti yao ndo ushaconfirm!!!!.
Ndo hivyo tena UDOM wanakungoja ukareport!! Ila system yao ni shida website yao yenyewe kuipata inahitaji moyo!!!.
Mimi naona wangetoa majina ya wote wale wenye multiple admission na wale amabao hawana multiple admission,sasa naona wametoa kipaumbele kwa wenye multiple,binafsi sikuomba vyuo zaidi ya kimoja sasa sijajua kwamba nipo upande gani maana hii ya multiple hainihusu,issue hapa ni kujua kama nimepata...
Katubu kwa PADRE kwamba umedanya hapa jamii forums kwa kusema uongo! Kwa nini msamiati huu wa Padre msiuingize kwenye biblia wakati wa kufasiri
Heri yako wewe usiyemjinga,unayezijua lugha zote za ulimwengu! Japo unashindwa kutoa maana halisi ya Padre kibiblia!
Kwenye biblia kuna mitume ,manabii...
Umenipotezea mda kusoma post yako kumbe hata biblia huijui..unatetea udini badala ya Kuikubali kweli ili uwe huru..haya nambie maneno haya yanamaana gani na yanapatikanikana kitabu gani:
"Naye alitoa wengine kuwa mitume, na wengine kuwa manabii; na wengine kuwa wainjilisti na wengine kuwa...
Padre > Father
Kuhani > Priest
Kwenye biblia hakuna neno Padre, na maana ya padre ni Father, kwenye biblia linamaana tofauti kabisa mfano sala ya wakatoliki ya Our Father,Who is in heaven..huwezi sema Padre wetu uliyembinguni....
Nimejaribu kusoma post za watu sijaelewa kabisa...Mimi sijaripia kingamuzi changu miezi kadhaa ilopita nilikuwa nikilazimika kuangalia vipindi vya TBC1 tu ila jana nimeshangaa channel kama StarTV,EATV,ITV na channel TEN zipo hewani.
Inamaana siku nikihitaji zile nyingine nikilipia hizo local...
Sorry mi sio mtaalamu wa sayansi naomba kwa Lugha rahisi uthibitishe kwamba kuna hewa. Make naona kwako neno thibitisha ndo lina utata au pengine nalielewa tofauti na wewe unavyolijua.
-Mtu anayetabiri na ikatimia kwa uelewa wako na sayansi yako imeekaaje kujua yajayo kabla ya wakati wake.Nguvu...
Kiranga anasema hajui roho ni nini, na hii nadhani ndo inasababisha asimjue Mungu maana Mungu ni roho. Pia napenda kusema Mungu hachunguziki kwa ufahamu wetu katika macho haya nyama bali katika macho ya roho na Mungu husikika katika masikio ya roho,in short hii pysical appearence ya mtu ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.