Ndugu wana jukwaa,
Katika kipindi hiki cha uongozi wa awamu ya 5 chini ya Dk. John Pombe Joseph Magufuli, imeshuhudiwa matumizi makubwa sana ya waandishi wa habari katika kazi za viongozi (mawaziri, manaibu waziri, makatibu wakuu na manaibu wao, wakuu wa taasisi mbali mbali, wakuu wa mikoa na...
Mkuu wa majeshi angejitokeza hadharani kuiaminisha jamii ya watanzania kwamba yuko vizuri ingekuwa nzuri zaidi. Ikiendelea hali hii, habari hizo zitaonekana kama zina asilimia kubwa ya ukweli.
Kwa sababu bado hatujapata chama mbadala KARIBUNI nawatakia kila la heri. Msiwe wasanii kama jina la chama chenu lilivyo. ACT. pigeni kazi huenda mkawa chama mbadala siku za usoni.
Napendekeza wawe wanalipwa kwa siku na tena wawe wanasaini wakati wa kuingia asubuhi na wakati wa kuahirishwa bunge kama atakavyoahirisha mwenyekiti kila siku.
Baada ya kupoteza mvuto kwa wananchi, wakaamua kuunda UKAWA kwa kusudi la kutengeneza mipango ya kupata huruma ya wananchi na hatimaye kurudisha mvuto. Matokeo yake karata hiyo imewageuka na kuwamaliza kabisa. Kumbe wamerudi bungeni!!!!!! CHEZEA POSHO WEWE!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.