Hata kwa akiri ndogo tu unaweza kutambua kuwa ni uongo mputu. Yaani wagombea ambao hata kura hawajapigiwa awaandinkie barua kuwaonya kutomptambua meya? Duh!
1. Umesema kuna mambo mengi sana kuhusu kupotea kwa Mwigulu! Taja machache basi
2. Unadai wengine wamezusha mengi! Taja angalua machache waliyozusha.
3. Unataka aje afanye nini wakati hujaeleweka unataka nini?
Hata kama ni la udaku unatakiwa kusema kama ni kweli au uongo. Kwa habari hii je, hakusamehewa kodi? Je hakuingiza bidhaa hizo? Je kampuni si yake? Je, hakuuza hivyo vifaa vilivyo samehewa kodi? Ujue kwa kariba yako hukutakiwa kusema tu ooooh! Tanzania daima ni gazeti la udaku. Jibuni tuhuma hizo
Ingependeza kama Mjengwa angesubiri uchunguzi na uthibitisho wa tuhuma kwa "udovick. Ina maana mkewe akituhumiwa atampa taraka? Nilitegema angesema watampa msaada kupata haki yake. Kuna jambo nyuma yake.
Kitila mkumbo haendi kinyume na CDM, nadhani hukuelewa mantiki ya makala yake. Alisema si elimu tu imefeli bali ni seketa zote hivyo si Kawambwa tu anatakiwa kujiuzulu. Kwa Kitala kumtoa Kawambwa peke yake ni kumuonea. Nadhani alikuwa anapendekeza kutoa serikali yote kwa kumuondoa bosi wao...
Bila shaka Zitto atakanusha na kusema Asah ni muongo kwa vile hataweza kuthibitisha kuwa Zitto alimwambia maneno hayo. Inawezekana Zitto alikuwa anamshauri tu namna ya kufanya kazi na vyombo vya habari. Inawezekana Zitto alijua udhaifu wake ndo maana akampa ushauri mapema.
Kwa kusema...
Uwt hawana kosa wanajua magembe ni fisadi, na kwamba anahitaji masifa, hivyo wakamwomba pesa wafanye maandamano akakubali. Hii ni njia ya kula mapesa yake. Hata hivyo hili haliataondoa udhaifu wake katika utyendaji wake. Ni dhaifu mno haendani na elimu yake.
Unajitahidi sana kupuliza kipenga lakini kumbe kibovu. Utaishiwa pumzi. Eti jeshe lililotukuka! Eti mamlaka imezuia! Ukombozi utakuja tu. Tutawabana kila kona mpaka mapovu yawatoke. Huna cha kuwashauri vijana kwani yaelekea hujui maeendeleo maana yake nini.
Mnyika anajitahidi sana kuelimisha jamii kuhusu udhaifu wa serikali na wapambe wake. Makinda atajutia maamuzi yake na ubabe wake siku za usoni. Mpe miaka mitatu tu mtamsikia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.