1. Kumtafuta fundi ambaye ni ndugu yangu kwa lengo la kuokoa gharama. Aliharibu Foundation ya nyumba, alimanusura nibomoe jengo lote. Niliokoa baada ya kutafuta fundi mwingine.
2. Kujenga nyumba kubwa kinyume na uwezo.
Kumbukeni Mungu hachunguzwi wazee. [emoji3]
Huko kwenye Biblia kuna mtu aliambiwa alale na mke wa kaka yake ili amwongezee uzao, jamaa alimwaga chini. Mungu alilaani hicho kitendo. [emoji3]
Sijui ni kitabu kipi. Wataalam njooni
Airtel wanakupa MB 500 za bure kila wiki unaponunua kifurushi cha internet kuanzia 1000. Sijui kama ni subscribers wote. Kwa wenyewe matumizi ya social networks sio mbaya.
Habari waungwana!
Naomba msaada wa mawasiliano ya mtu anayefanya biashara ya ng'ombe au duka la nyama mbichi ya ng'ombe (bucha) Katoro sehemu yoyote ile. Kuna kitu nahitaji anisaidie hapa.
Hata kama sio wewe, nisaidie kuniunganisha na mtu unayemfahamu. Boksi langu la meseji linasubiri namba...
Habari waungwana!
Naomba msaada wa mawasiliano ya mtu anayefanya biashara ya ng'ombe au duka la nyama mbichi ya ng'ombe (bucha) Katoro sehemu yoyote ile. Kuna kitu nahitaji anisaidie.
Hata kama sio wewe, nisaidie kuniunganisha na mtu unayemfahamu. Boksi langu la meseji linasubiri namba hiyo...
Habari wadau! Kwa mnaoguswa na tozo kama mimi poleni sana.
Naomba kuutaarifu umma kwamba niko njiani kuingia kwenye biashara ya nguo za mtumba. Nimedadisi kiasi fulani nikaona nguo za mtumba ni biashara ambayo siwezi kukosa hela ya kula.
Changamoto niliyoisikia ni kwamba kwenye kununua...
Habari wadau! Kwa mnaoguswa na tozo kama mimi poleni sana.
Naomba kuutaarifu umma kwamba niko njiani kuingia kwenye biashara ya nguo za mtumba. Nimedadisi kiasi fulani nikaona nguo za mtumba ni biashara ambayo siwezi kukosa hela ya kula.
Changamoto niliyoisikia ni kwamba kwenye kununua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.