Waarabu wanabaguana wao kwa wao sembuse wewe mtu mweusi. Nipo nao huku Ulaya yaani mtu wanatoka nchi moja ila wanakuambia kabila lake na letu hatupatani. Kuanzia Saudia Mpaka Iran hawana umoja.
Mimi nipo nao bega kwa bega kwa sababu nachukia umasikini. Naomba pia nikuambia hapa Ujerumani ninapofanyia kazi boss wangu nae ni shoga. Mimi Mchaga nimetumwa hela najua nini maana ya hela. Nauogopa umasikini kuliko kitu chochote kile. Niko Tayari kufanya kazi na mtu yeyote sijali dini, kabila...
Namalizia na hii DJ mix niliyodikiliza Sisyphus Berlin Summer 2023. It was an amazing experience kulikuwa na watu wa miaka mbali mbali. Ilikuwa maadhimisho ya miaka 10. DJ ali sample miziki ya 90s na 80s na kuiweka EDM friendly it was amazing. It was a three day event, from friday to monday...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.