Natumaini mnaendelea na weekend yenu kwa utulivu huku tukidigest majipu yaliyotumbuliwa week nzima.
Nataka tu kujua maendeleo ya lile daraja la kigamboni, limefikia wapi? Nakumbuka Mh Rais wakati huo akiwa waziri wa ujenzi aliagiza kandarasi ahakikishe linaanza kupitika september 2015 ila...
Wakuu ni muda mrefu nimejaribu kufuatilia sakata la mgomo wa madaktari na serikali yetu.. Kiukweli sijafurahishwa na jinsi serikali inavyolishughulikia suala hili, Ni kama vile viongozi wetu wanaendesha nchi kidikteta na hapa sitataka kuanza kuongelea mkasa uliompata ndugu yetu Ulimboka na...
wana JF habari toka tarime zinasema serikali imekataa kuruhusu wale marehemu waliouwawa na polisi kuagwa uwanjani kabla ya kwenda kuzikwa...
source; tundu lissu
Tundu Lissu
(7 minutes ago)
Niko Tarime tangu jana jioni. Na jana mchana Jeshi la Polisi likiongozwa na Kamishna wa Polisi Chagonja...
Ramadhan Semtawa
VYAMA sita vya siasa vyenye wawakilishi bungeni, vinadaiwa kuwa vimeshindwa kuwasilisha taarifa za hesabu kuhusu matumizi ya ruzuku ya jumla ya Sh17.14bilioni kwa mujibu wa sheria.Vyama hivyo ambavyo vinapata ruzuku inayotolewa na Serikali ni pamoja na Chama Cha Mapinduzi...
Wakuu kila siku nikiingia jamvini nakutana na heading za kuchefua sana.. hasa za kisiasa yani kama huna roho ngumu unaweza hata kupasua keyboard ya laptop yako au compyuta kwa hasira..
ndio maana nauliza je hatuna masnipers watuondolee hichi kichefu chefu?
kero ni zile zile kila kukicha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.