Mhe. Charles J. Mwijage (Mb) Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji amekabidhi mradi wa kujenga Industrial Sheds kwa Mkandarasi JKT mkoani Simiyu tarehe 2 Jan, 2018. Mradi huu ni mahususi kurahisisha uchakataji, branding na cold storage kwa bidhaa za wajasiriamali wadogo wadogo mkoani humo...
Kama kweli ACACIA mlikua na nia nzuri na nchii hii na Watanzania, je! mlikua wapi kubadili jina lenu ambalo tangu enzi na enzi tunaliona kwenye magezeti, tv, mitandao, mabango mbalimbali ya matanganzo mpaka kufikia eti tarehe 4 Mei, 2017. Shame on you. Ukiligema linywe.
Serikali katika juhudi zake za kutengeneza mazingura ya kufikia uchumi wa kati ifikapo 2025 utakao endeshwa na mapanduzi ya viwanda yafutayo ni matunda to mention but few
Kiwanda cha kusindika matunda kitakachofunguliwa soon eneo la mboga chalinze
Ni dhahiri mpaka sasa swala hili la "xenophobia S.Africa" cyo jambo ngeni tena. Hakuna Mwafrika yoyote aliposikia swala hili hakuacha kuwalaani vijana hawa wa Durban na kwingineko bondeni kwa their barbaric actions.
Swali ni Je ni sahihi kuwatupia lawama moja kwa moja vijana hawa wa bondeni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.