Kwanza kabisa ni kuhusu ugumu wa maisha unaozidi kushamiri.:
Tunaomba sura za viongozi wote wa umma zifanane na sura za raia walioko mitaani ambao wengi wanaonekana sura zao kukunjamana na kudumaa ingawa wengine wana umri mdogo,wengi wao wana vigezo vya kuwa watumishi ila kama ujuavyo nchi...
Nimekuwa nikisikia kesi nyingi za hivi,tena wanawake wengi hukimbia na mali za waume zao kwenda kujichimbia nazo kwa hawara yake au mabuzi yake.
Sasa najiuliza kwa nini wanakuwa na akili nyepesi kiasi hicho?
Maana kuyumba kwenyewe kifedha huwa ni suala la miezi kadhaa tu,wanajidhalilisha kiasi...
kama kuna walioitwa wizara ya mambo ya ndani ukonga wanipe link ya majina ,nimepigiwa simu kwenye daladala sasa sikumbuki tena.
nijulisheni.niliomba post ya it wakasema jumanne ila hata eneo silijui
Sababu ni kwamba mabadiliko hatuyafanya leo tumefanya tangu 2005 na 2010, akiwa mnyika bungeni:-
Wanawake wameendelea kujitwisha ndoo za maji mbunge haonekaani
Diwani haoneklani dispensari ya serikali ni dawa ghali kuliko binafsi
Ajira zimeendelea kuwa ngumu kwa vinywaji
Mazingira ya...
Nataka kujaribu kilimo cha bustani ila naiuliza kati ya bamia au nyanya chungu ni zao gani linafaida nzuri na soko la uhakika?
nategemea kulima kilimo cha umwagiliaji mkoa wa pwani.
Huyu jamaa kwa sasa anaona maruweruwe, waliokuwa wamemfadhili kwenye mikoa na wilaya sasa wamejiandikia kufilisika.
Huyu mtu asipoangaliwa anaweza kujirestisha in peace, maana dunia imeshakuwa jehanam kwake, haikaliki tena
Nahitaji mtu(mwanamke au mwanaume) kufanya kazi saluni ya kike.
Awe anajua kusuka weaving, yeboyebo, kuset na kuretach.
Eneo la kazi ni Dar es Salaam, Ubungo External.
Wasialiana kwlutiona email:zansususolution@gmail.com
Namba: 0768942828
Wadau nataka kujua vitu hivyo vinaweza kutumika kumfanya mtu akafanikiwa na ni namna gani mtu ambaye hajihusishi navyo anaweza kuzuia ili visimuharibie biashara zake.
Najiuliza kwanini mwanamke akiolewa anaachana na jina la baba yake mzazi na kutumia jina la mme wake kama ubin wake? Nini sababu ya hii maana pia naona iko kwenye tamaduni nyingi ni ipi hasa sababu inayopelekea hivyo?
Habari,
Nahitaji kuanza kilimo cha uwagiliaji kwa maana ya bamia,pilipili na nyanya chungu.
Naomba mwenye uzoefu wa kilimo huko na urahisi wa kupata maeneo anijulishe.
Kwa wale wa wenye biashara zao wanahitaji software kwa ajili ya kumanage.Wanahabarishwa kuna software package ambayo inapatikana.
hii nikwa wali wa:-
Mashuleni: kwa ajili ya kutunza maksi za wanafunzi na kumbukumbu zote za ada na michango, hii itasaidia kupunguza wingi wa mafaili na kuondoa...
Kwa wale wa wenye biashara zao wanahitaji software kwa ajili ya kumanage.Wanahabarishwa kuna software package ambayo inapatikana.
hii nikwa wali wa:-
Mashuleni: kwa ajili ya kutunza maksi za wanafunzi na kumbukumbu zote za ada na michango, hii itasaidia kupunguza wingi wa mafaili na kuondoa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.