SABABU KUBWA KUKOSA MAANDALIZI, NA PUPA WAKATIMWINGINE KWA SABABU YA PUPA HATA BABU ANAWEZA AKAZIMIA KABLA HUJAANZA MECHI.
Pengine matumizi ya pombe sigara na mazingira pia. mazingira ya wizi kama huna uhalali na huyo unae shiriki nae, na hofu ya kupigwa chabo ni tatizo pia. hali ya hewa...
Hapa kinachotangulia ni tamaa. kutamani huwa huanza kwa kuona kusikia kuhisi au kuwazia. na baadaye swala la kupenda au kutokupenda ni matokeo ya kile ulicho tamani.
kwenye swala la mahusiano, mara nyingi hutokea matokea tofauti hasa pale unaposhindwa kuhimili baadhi ya tabia za...
kwani manii ni kama mkojo!? hebu jaribuni kufanya uchunguzi mjue manii hutengenezwa wapi. msidanganyike.. sio kazi ndogo kiwanda cha hiyo kitu mashine yake iko kichwani. hivyo sio kweli hayo myasemayo na kuyasikia.
hapa zipo mbili.. huyu anetaka kusoma sms za wenzake bila shaka ametumwa na CIA. SHUSHU WEWE AU WIVU TU.,!
Haya sasa mimba.. Nawe ulijiachia mno usinge mpa bila kinga. sijui hata kama mlipima kabla.. pole sana ila Mungu ni mwema sana kama ukimtumainia Mungu utayashinda hayo ni mapito tu...
Wivu ni kitu cha thamani kubwa sana.. ukikosa kuwa na wivu,, utakuwa umepungukiwa na upendo. bila wivu huwezi kujitahidi kuwashinda wenzako wivu ndiyo sababu kubwa ya maendeleo na mafanikio katika kila jambo.. hata wanyama na ngege pia wadudu wana wivu.. wewe binadamu mwenye utashi ukose wivu...
kina mama wana siri kubwa sana kwenye haka kamchezo.. ila wengi wanaotoka nje ya mahusiano ni kwa sababu ya mapungufu mawili muhimu.. kwanza ni uchumi na pili ni kina baba kukosa ubunifu..
Napenda kuwaasa kina baba. jamani acheni uvivu wahudumieni wake zenu kwa bidii.. kibamia wala...
kina dada wajanja sana siku hizi. akiona una mwelekeo wa kuoa na huku una sogeza kalenda, anaamua kukuachia ili aharakishe Ndoa. mimi
yalinikuta hayo.. na kweli sikuwa na namna ilibidi nitangaze ndoa haraka kabla kitambi hakijapata umaarufu.. nilifnya sherehe ndogo na ya maandalizi mwezi...
pole sana mama. unajua, huwa kwa kawaida hutegemea mwanzo wenu ulikuaje. ikiwa kipato chako ni kizuri sana sio vibaya kumhudumia mpenzi wako.. ila jichunge sana isije ikawa umetana na kina papaa,, hawa wanaume wanao suka nyele na kutoga masikio.. hawa wanaodai haki isiyo patana na akili za...
wewe mtoto wa shule. kwanza unataka kuikosea heshima shule.. mapenzi na shule ni sumu..
sasa sikia kijana. jitahidi sana kumchukia hadi uwe hutaki kumuona. hii ni nafasi ya kipekee umeipata.
kumbuka kuwa wengi walioingia kwenye mapenzi wakiwa na umri mdogo wamepoteza yote. kila jambo lina...
hongera zako. ila kuwa makini sana kwani ukizidisha kujiachia kwake anaweza kukuchukia mapema. kwa kuwa ameonesha wasiwasi asubuhi jitahidi sana kujiepusha na vitu vya kumuogopesha. au vinavyo weza kumuongezea mashaka. pia tahadhari pia ni muhimu kwako.
wengi huanza moto sana na...
wanawake wengne wanakaa kwa waume wao kwa mateso sana. huenda dada kakuta kaka ana saizi siyo sawa. mimi nimewahi kusmuliwa na wenawake wawili juu ya wanaume ambao ni zaidi ya kawaida. na balaa zaidi wegine wanataka kukaanga vitumbua bila mafuta. hawana huruma kwa ile kitu. mzuka uksha panda...
mimi jibu ni [Yes]
hapa bado. wakati wote nilijiona mkosaji. kila nikimuona nasahau hata nimsalimieje..nilijikuta nikiomba msamaha bila kosa. simu, niliweka mlimo wa peke yake. ilikua ikilia mapigo ya moyo yanakwenda kasi hadi mwili unakosa nguvu. wakati mwingine nilishindwa kupokea simu...
Huyo jamaa alikua anampotezea muda dada wa watu. naamini kuwa huyo dada alikua amejishikiza kwa taabu sana. jamaa alipo mpa nfasi
dada kaitumia vizuri.. hili kwangu ni funzo zuri sana wakuu, nahakikisha wangu simpi nafasi ya kusepa. jamaa ishakula kwake;
mwambie atafute mwingine hapo...
Asanteni kwa mchango wa mawazo.. mimi naichukia sana sigara kwa wote. katika vitu vinavyo kera kwa harufu mbaya mdomoni,, cha kwanza ni bangi na pili ni sigara,, nawapa pole sana wavutaji..
pole sana,. usiogope.. ukweli ni kwamba. wanaume ndiyo chanzo na sababu inayowafanya hawa warembo wachanganyikiwe.
kama wanaume wangepata ujasiri wa kuwapotezea wala wasingekua na shida.. hebu jaribu kuchunguza zaidi. utagundua ambavyo
wanaume wengi wamepanga foleni kwa mlimbwende mmoja...
Sikuweza kutimiza ndoto yangu.. ila kwa hasira niliamua kumchukua Dada yake ambae wamepishana 2ys, ila mpaka sasa sijapona.. maana sitaki tena kumuona wala kumsikia.. hata akija kumtembela dada yake/mke wangu najitahidi sana kutokuwepo nyumbani ili nisionane nae.. ila nashukuru kwa namna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.