Unapoint sema watu hawatakuelewa
Jiulize kwanini ulaya mbilikimo wachache
Na kule China watu wavivu ni kama hakuna
Kusingekuwa na dawa
Wangekufa wengi na hao wachache ndo wangepona
Ingewezekana Africa nzima wangebaki hata
Million 100 tu
Selection ingefanya kazi na ingeacha machungu...
Shida ya Tanzania mbumbu kibao
Bei ya gharama NHIF huwa haibadiriki na ipo kwenye mkataba na hospital husika na ni bei elekezi kwa Tanzania nzima
Maana yake mwenye hospital hawezi panga bei
Kwa mgonjwa private bei ndo inaweza badirika kutokana na hospital husika ameamua kuuza kwa shi ngapi...
Johanesburg ilikikata stimu kabisa nilikuwa huko mwezi ulipita kwa wiki moja
Mitaa ya watu weusi kumechoka na kuchafu sana
Vijana mtaani wamechoka na wanaonekana wapo under drug influence
Mademu wa kitaa South wamechoka sana
Daa hawatii hata mzuka ... ndo nikaelewa why mademu wa South waraisi...
Hamjamwelewa mtoa maada
Kwa ufupi kamaanisha huyo dogo anapenda kitonga na hajui namna ya ku interact na watu wa connection mjini .. kwa ufupi hili ni janga kwa vijana wengi Tanzania Wana akili za kukariri darasani sio akili ya kitaa
Sio kweli watu wengi wanadhani ni nyama nyeupe ila ni nyekundu ...
Wagonjwa wangu wengi nikiwaambia kuwa kitimoto ni nyama nyekundu huwa wanashangaa sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.