Mkuu wa Wilaya ya Musoma amemuweka ndani Polisi Afisa Elimu wa Wilaya ya Musoma Mwl Kalugendo kwa uonevu ati kwa sababu Afisa Elimu huyo alichelewa kuhudhuria Kikao chake cha Chama kilichopangwa kupokea taarifa ya Maendeleo ya Wilaya ya Musoma.
Mkuu huyu wa Wilaya anaenda kinyume na Maelekezo...
This might be true! Kumbukeni CHADEMA ukionekana KINARA tu ama uhame au maisha yako yaondolewe! Mbowe awe ni miongoni mwa wahojiwa na Jeshi la Polisi kuhusu kuhusu Lisu kupigwa risasi.Over!
Wewe mtoa post hii ni mshamba na mjinga wa kutosha kabisa...inaonekana haufahamu hata historia ya nchi yako. Usidhani kila Mjaluo ni Mkenya. Luos are all-over...kuanzia Sudan ya Kusini, Kenya, Uganda, Tanzania, Central Africa na hata USA. Lakini pia inaonekana haufahamu maana ya nani ni "Raia...
Leo nimesikitishwa sana na kitendo cha Mbunge wa CHADEMA Bwana Kubenea kuwadhalilisha wabunge wanawake wa UKAWA kuwa wanavaa shanga viunoni. Nimejiuliza maswali kadhaa. Hivi Kubenea ana akili nzuri kweli? kama anazo akili nzuri, je, zile articles anaandika mwenyewe au anaandikiwa? Je, waume...
Kwanza Mbowe hamtambui Magufuli sasa kwanini aambiwe Kama haumtambui? Pili, hatuwezi kuuza Uhuru wetu kwa sababu ya vijana wa CHADEMA waliotaka kusevu matakwa ya wachache na kuleta fujo katika nchi hii.
Kwa akili ya Mbowe Marekani akimwambie Tanzania iruhusu ushoga atabadili hata na sheria ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.