Wakuu poleni na majukumu. Moja kwa moja kwenye mada. Hawa jamaa zetu wa Arusha walitangaza nafasi ya kazi mwaka jana kwa nafasi ya assistant accountant. Kuna yeyote kaitwa kwenye interview?
Asante wakuu.
Wakuu habarini za muda huu.
Kama mada inavyojieleza haya mashirika ya kimataifa ikiwa ni pamoja na umoja wa Afrika na umoja wa mataifa hali ikoje kwenye suala zima la utoaji wa ajira.
Yeyote mwenye experience na hizi taasisi anaweza kutupa uhalisia wa mchakato kule ndani ikoje maana naona...
Si jambo la kawaida, baba anamkana mtoto wake wa kumzaa, na kutangaza kuwa hatahusika tena na mali zake.
Baba aliyetoa tangazo hilo kwenye magazeti nchini Tanzania ni Bw Ramanlal Patel, akimlenga mtoto wake Veer Patel.
Bwana Ramanlal ni mmoja wa wanahisa wakubwa wa Makampuni ya Motisun pamoja...
Wakuu habari za muda huu. Jana kuna mfanyakazi mwenzetu ni mwenyeji wa Bukoba alikuja na senene wamepikwa vizuri sana nadhani hakuwala akawa amempa mwenzetu. Sasa leo nikawa nimeziona nikasema ngoja nijaribu kuzila.
Huwezi amini nimekuta ni watamu mno na wana ladha kama ya samaki. Sasa toka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.