Search results

  1. I

    Waliofutiwa matokeo darasa la saba 2022 kurudia mitihani

    Baraza la Mitihani limetangaza tarehe 21 na 22 kurudiwa kwa mitihani kwa wanafunzi waliofutiwa. Nini maoni yako
  2. I

    Yeyote kaitwa kwenye usaili na African Court on Human and People's Rights?

    Wakuu poleni na majukumu. Moja kwa moja kwenye mada. Hawa jamaa zetu wa Arusha walitangaza nafasi ya kazi mwaka jana kwa nafasi ya assistant accountant. Kuna yeyote kaitwa kwenye interview? Asante wakuu.
  3. I

    Urahisi wa upatikanaji wa kazi katika mashirika ya kimataifa kama Umoja wa Afrika na Umoja wa Mataifa ukoje?

    Wakuu habarini za muda huu. Kama mada inavyojieleza haya mashirika ya kimataifa ikiwa ni pamoja na umoja wa Afrika na umoja wa mataifa hali ikoje kwenye suala zima la utoaji wa ajira. Yeyote mwenye experience na hizi taasisi anaweza kutupa uhalisia wa mchakato kule ndani ikoje maana naona...
  4. I

    Nahitaji kiwanja Burka Arusha

    Habari za muda huu wana JF. Nahitaji kujua bei ya viwanja Burka Estate na utaratibu wa kuvipata ukoje. Asanteni.
  5. I

    Ugomvi wa mali wamsukuma bilionea kumkana mtoto wake. Ni ugomvi wa Ukurugenzi wa MOTISUN Group

    Si jambo la kawaida, baba anamkana mtoto wake wa kumzaa, na kutangaza kuwa hatahusika tena na mali zake. Baba aliyetoa tangazo hilo kwenye magazeti nchini Tanzania ni Bw Ramanlal Patel, akimlenga mtoto wake Veer Patel. Bwana Ramanlal ni mmoja wa wanahisa wakubwa wa Makampuni ya Motisun pamoja...
  6. I

    Nimekula senene

    Wakuu habari za muda huu. Jana kuna mfanyakazi mwenzetu ni mwenyeji wa Bukoba alikuja na senene wamepikwa vizuri sana nadhani hakuwala akawa amempa mwenzetu. Sasa leo nikawa nimeziona nikasema ngoja nijaribu kuzila. Huwezi amini nimekuta ni watamu mno na wana ladha kama ya samaki. Sasa toka...
Back
Top Bottom