Hapa kwanini upige magoti nacte lkn wewe siumesoma huku chuo nakilipia ni responsibility ya chuo kuhakikisha muhitimu wake anatambulika kote. Kama hawafanyi hivyo nafikiri hwatendi haki kwa wahitimu wao. Pambana nao wapeleke hata mahakamani ukiweza kwa sababu wanakunyima haki yako ya msingi...
Kwa taarifa zisizo rasmi nasikia kua baada ya kumalizika huu wa intake ya march. Matarajio ni ktikati ya mwezi wa tano ndio utaanza ule wa watakaoingia september.
Na wewe ndio walewale. Soma kwenye matangazo ya nacte yanajieleza vizuri. Huyo aliyesema kaenda ofisi za nacte muongo nimeshakwambia katumwa aje kuchafua tu hapa. Maombi ni vyuoni pale unapotaka kawafuate kama utaratibu wa mwaka jana. Na vyuo vya serikali ualimu na afya kwa sasa bado mpaka...
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI KUHUSU UDAHILI WA WANAFUNZI KATIKA KOZI MBALIMBALI ZA NGAZI YA ASTASHAHADA NA STASHAHADA KWA MUHULA WA UDAHILI WA MARCHI/APRIL, 2018 - NACTE
TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UDAHILI WA WAOMBAJI WA MAFUNZO KATIKA PROGRAMU MBALIMBALI KWA NGAZI ZA ASTASHAHADA NA STASHAHADA KWA MUHULA WA MACHI/APRILI, 2018 - NACTE
Mzee wewe ni mpotishaji hatari. Umetumwa nini? Maana nimejaribu kupitia matangazo yote habari mabalimbalizinazotolewa na NACTE sijaona mahala walipo sema udahili unafanyika online. Hebu tupatie ushahidi wa hii hadidhi yako uliyotengeneza.
Kwa taarifa yako kinachoendelea sasa ni vyuo ambavyo si...
"Chuo kina tumia umeme wa aina 3, wa generator ,solar na upepo na vyoo vipo kama vinavyoonekana kwenye picha" from wahusika sasa huyu mtoa mada atoe evidence ya kupinga hili ili tujue kwamba hatupotoshi.
Kwa taarifa nilizo nazo majibu hayatangazi na nacte mwaka huu. Ni vyuo husika ndio vitakavyosema nani kachaguliwa wapi. Kwa elimu vyuo vya serikali ni wizara ndio itakayo toa tamko vivyo hivyo na afya pia. Kazi ya nacte ni kutoa ratiba na kuacha wahusika waitekeleze.
Kwa taarifa nilizo nazo majibu hayatangazi na nacte mwaka huu. Ni vyuo husika ndio vitakavyosema nani kachaguliwa wapi. Kwa elimu vyuo vya serikali ni wizara ndio itakayo toa tamko vivyo hivyo na afya pia. Kazi ya nacte ni kutoa ratiba na kuacha wahusika waitekeleze.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.