Kukiwa na katiba na NEC hii hata ccm wakisimamisha JUHA atapitishwa na wa tz watampigia makofi. Kwa mtazamo wangu kuna haja vyama vya upinzani kugomea chaguzi zijazo.
Ninachoweza kujiuliza ni kwann iwe haraka hivyo ? Labda kuna mambo ambayo mkuu anataka yatendeke as soon as possible na yanamhitaji awe officialized kwanza.
Hii siasa ya tanzania ninaitafakari mwisho nnaona:hippie:. Labda kuna mengi tusiyoyajua kuhusu viongozi wetu na tuhuma zao,hivi siasa yetu na vyombo vya dora vinatenda kazi kwa sheria na utaratibu upi? Inawezekana tukawa tunapost feelings zetu wakati hatuwatendei haki watu kutokana na utaratibu...
Kitu kikubwa ambacho wanaweza kusaidia kwa mtazamo wangu ni kuzungumzia mapungufu ya katiba tunayo tumia kwa sasa na kuunga mkono
watu wote wanaopigania usawa katika medani za siasa. Naamini wanaweza kuanzisha motion ya mabadiliko ya katiba kwa manufaa ya taifa na siyo chama fulani, kwani TZ ni...
nimekuwa nikifuatiria programs (discussions) kenye tv chanel kwa muda sasa na wote wanaojaribu kuonngerea katiba wanahitaji mabadiliko ya hii katiba.Insue ni kuwa organisations na viongozi waliopo madarakani hawako tayari kabisa kwa kuona ndo ngao wanayotumia kuendeleza maficho yao. we have to...
Watu kama hawa wanafikiri wana win na kuvutia watu kumbe ndo anabomoa ngome ya ccm kwani wanao access hii forum wanatoka na aina ya wanachama wanao itetea ccm walivyo. Such these guys are need for the verification of where we are and heading with this machinery ccm.
Kwann ishangaze zaidi kwa mwanaume? mi naona insue sio nani anampiga mzinga mwenzie bari ni kutokuwepo kwa free conversation ya jinsi ya kuendesha huo uhusiano,mra nyingi hii trend huwa inasababishwa namsingi(mwanzo) wa mapenzi yenu. May take NI BORA KUBORESHA ULICHONACHO KULIKO KUANZA UPYA as...
Wakuu sasa naona tuwe tunatoa reason/s kutokana na misimamo yake ni jinsi gani anavyo weza kunufaisha au kutokunufaisha taifa. Tunahitaji watu wenye misimamo au slogan ambayo tutampima kwa hiyo la sivyo tuanishe qualities za kuwa spika bora.
hivi amani gani we unayozungumzia maana true peace must come from peoples` hearts ndo tuna ipractice physically otherwise tunaahirisha matatizo huku tukiendelea kuigiza
Naunga mkono hoja na nashauri kwa kuwa ni chama cha NGUVU YA UMMA kama ilivyofanyika wakati wa kampeni wananchi wakishirikishwa naamini watachangia na wabunge wa CHADEMA ndo tegemeo la wananchi kwa sasa ndani ya BUNGE tusiwaangushe watanzania wote ndani ya majimbo yetu na yasiyo yetu. Wabunge na...
sometime ninapoona yanayoendelea kwa sababu ya NEC ya ccm najikuta machozi yakinitoka ila lazima tu control temper and emotion kama mnataka tufike maana ni Tz wenzetu wenye haki kikatiba kama sisi ila wao wameshika mpini na wanautumia bila kujari.
I'm sure we're wise citizens than their...
Nnapopata taarifa kama hizi nnamfikilia mzee wangu Dr. SLAA anavyopigania haki ya wanyonge kwa nguvu nyingi na mazingira yasiyo rafiki afu insue kama hizi zinatokea I don't want to imagine what he is going through. Anyway wakati wengine wanapigania Tanzania yenye neema kwa wote watu wanawaza...
nilisikia kwenye taarifa za uchaguzi ch10 japo ilikuwa almost 2400. Kama ni kweli basi prof Kahigi wa Bukombe na Mlambiti wakiwa BUNGENI naamini japo pengo la SLAA ni gumu kuzibika lakini NEW ÅND PROMISSING REVOLUTION IS BEFORE US.
mimi nimepiga kura yangu kwenye kituo kimoja ndani ya kambi ya askari magereza,ila kabla ya kufika kituoni asubuhi nilikutana na afisa mmoja wa hapo kambini ambaye ni mzee akaniambia kijana zawadi pekee utakayo nipa leo ni kuchagua CHADEMA na DR.SLAA sikuamini ila ki ukweli nimeongea na askari...
Ladies wengi wa siku hizi hawapendi kuwa controlled au kuruhusu kitu ambacho kita inhibit any freedom hasa wenye sources za kipato iwe kwa kutumia miili yao au ofisi zao. Kwa wanaume wenye kulielewa hili sio rahisi kujenga kibanda kwani anajua au anahisi motives za kinadada kuwa wanaume na...
Kweli we ni great thinker!. Huo utakuwa mwanzo mzuri kwani atakuwa amewahusisha wadau wa karibu wa familia. Naamini atapata mwelekeo wa ni nini ni sahihi au sio sahihi kufanya.
Hivi kwenye hili jukwaa hakuna wana sisi m wenye uchungu na nchi na wa Tz wa kuunga mkono wapenda mabadiliko ya kweli hata kama ni machungu kwao lakini ni Tz pia tena wenye uelawa ingawa sijui kiwango chao. Nitafarijika nikiona mfano kina Maralia sugu, Maggid na wengineo wakitoa comments zao...
Tuko pamoja mkuu. Afu muulize huyo ndugu yako asiwe amesha pewa story za sap na discont achilia mbali pass mark ya SUA. Afu kama ni mchukia hesabu( introd.statistics) asihofu yote yanawezekana. Otherwise anakalibishwa Mazimbu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.