Hivi si huyu huyu Salma alipokuwa first lady alipigania wasichana wanaopata mimba wakiwa shuleni waendelee
Inavyoelekea huna mtoto. Subiri upate kabinti tuone kama utasema hayo.
Members wa forum, natafuta mwalimu au mkufunzi wa lugha ya Kiingereza haraka. Mama mkwe anataka kwenda nje hivyo anahitaji kuongea kizungu ndani ya siku 7. Msaada tafadhali.
Hakuna Mfuko wa Pensheni unaotoa mkopo wakitegemea ulipwe baada ya kumaliza mkataba. LAPF wanatoa mkopo wa elimu ya juu kwa watumishi wa Mfuko huo tu na si kwa wanachama. Waulize upate uhakika.
1. Wana fao la kujitoa ndiyo. Ila interest wanayokupa kwa ajili ya michango yako ni chini ya 1% .
2. Kulipwa pensheni ni hadi ufikishe miaka 55 au ustaafu kwa lazima ufikishapo miaka 60, na uwe umechangia zaidi ya miaka 15. Chini ya muda huo hata kama ni tofauti ya siku moja, hulipwi pensheni...
Ingekuwa Mgeni rasmi katika mikutano hii haandikiwi Hotuba na mwenye mkutano, ningeamini yote Hawa Ghasia liyosema kuhusu LAPF. Watu wangeujua undani wa LAPF basi wanachama wangeandamana ili kujitoa kwenye Mfuko au kuing'oa Bodi na Menejimenti. LAPF inaanzisha miradi kila siku wakati mingine...
Kuhusu hiyo sababu ya "China is our dear....." ebu rejeeni hapa http://jasonbournetz.wordPress.com ....RAIS KIKWETE AIWEKA NCHI REHANI... mtajua kwa nini kasema hivyo
Mi Mbunge wangu naona hata aibu kumtaja ila inabidi kwa mujibu wa thread hii. Anaitwa Ndugu....ayiiiiiii!!! Hana udugu huyu. Kila siku anaongea pumba na kugombana na Kisu ( Lissu). Nikisikia kaongea kitu huwa najificha kwanza ili wenzangu wasinicheke!!! 2015 mbali sana.
Benz/ X5/ VX V8, vinatuponza. Nawasikitikia wasichana wadogo wanaolimbukia maisha na kutaka kupewa kazi, kupangishiwa nyumba na wababa wenye wake na watoto. Jiulize, y u?
1.Wabunge wa CDM msichukue rushwa ambazo hata watu wakisikia wanawadharau, hasa nyie wa Kamati ya Sheria na Katiba. Mliyofanya mwaka huu hasa kwenye Mifuko ya Hifadhi za Jamii yanatia ukakasi;
2. Mh. Mnyika, ukipewa issue yenye ushahidi, jaribu kui-pursue. Usikimbilie kuonekana kwenye tv tu
Rais anapojitetea kama yuko kizimbani haieleweki kabisa. Hivi jk, unashindwa kuchukua hatua yoyote dhidi ya unayodai unasingiziwa na kutendewa? Umekuwa mtu baki na si rais? Wacha cheap popularity
Watanzania tufungue macho jamani. China hawatatusaidia kitu na hawana nia njema kabisa na sisi. Hivi hatuoni tu? Mimi jilifungua ka-mgahawa China, Guangzhou mwaka 2009-2010, serikali yao ilini-harass mpaka nikafunga. Kwa mtu mweusi kutemewa mate na mchina kule kwao ni jambo la kawaida, na huwezi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.