Hili Kanisa (Katoliki) nafikiri wana namna zao zakudeal na ishue zinazowapa mushkeli iwe kikanisa au kijamii. Hawawezi kufanya kitu kwa vile tu watu wanataka kifanyike hivo nafikiri something is cooking in there tusubiri tuone.
Mie nasubiri tu WARAKA WA UCHAGUZI 2020.
Letters from a Stoic
"Trusting everyone is as much a fault as trusting no one (though I must call the first the worthier and the second the safe behaviour)"
Aisee mi sifurahii kwani niko huku Afrika Kusini nilikuja na hii ndege na nilikata tiketi ya return siku za kukaa huku zimeisha bado ka siku 6 tu na nauli ya kurudi huko sina. Nyie mlio nyumbani mwambieni mzee alipe deni tu.
Neno la Wiki- Sifongo
24 Machi 2017
Wiki hii tunaangazia neno “Sifongo” na mchambuzi wetu ni Onni Sigalla Mhariri Mwandamizi, katika Baraza la Kiswahili la Taifa, BAKITA, nchini Tanzania.
Bwana Sigalla anasema kwamba msamiati huu unafahamika kutokana na kuandikwa sana katika vitabu takatifu...
Kabisa awe makini alitafakari hili kwa kina asije jutia hapo baadae.
Ninakumbuka majirani zangu sehemu flani tofauti na baba wao walimchukia mama yao eti alisababisha kifo cha baba yao kwa sababu mama yao alikuwa na mwanaume mwingine (kumbe haikuwa kweli na mzee wao alikufa kwa ajali tu). Jamaa...
Ùū
Hapa kitu ni kuwa BURIGI sio BULIGI kieneo iko katka wilaya ya Biharamulo na toka enzi za wakoloni makao makuu na ofisi za hifadhi ziko Biharamulo mjini. Sasa huoni tatizo kuhamisha something existing kama hicho? Na ukweli haileti mantic Burigi kuwa Chato.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.