Klabu ya Ndanda ya Mtwara imetangaza kujitoa katika Ligi Daraja la Kwanza (Championship), huku sababu ikielezwa ni ukata kiasi Cha kushindwa kumudu gharama za kujiendesha.
Ndanda imekuwa haifanyia vizuri kwenye ligi hiyo kuanzia mwanzoni na sasa inaonekana kuamua kuachia ngazi rasmi.
Timu hiyo...
Mimi naanza na hizi.
1. Mpanda (Katavi) ~ Hapa Mpanda ni maarufu kuliko mkoa husika wa Katavi, Sumbawanga (Rukwa). Hapa utasikia mtu anakwambia ninaenda Sumbawanga yaani huwezi kusikia mtu akikwambia anaenda Rukwa kamwe.
2. Bukoba (Kagera) ~ Bukoba ni maarufu sana kuliko Kagera yenyewe...
Nipo Mbeya hapa kuanzia Uyole, Rungwe, Kyela, Chunya na kila ninapopita napishana na wakinamama wana ndevu. Sasa sielewi jamii za huku ndo walivyo au...au Kuna mkoa mwingine wapo kama huku maana ndevu tena kwa mtoto wa kike mbona naogopa aisee..
Huko kwenu vipi?
Takribani jezi elfu arobaini na mbili za mabingwa wa Tanzania Simba sports club zimepigwa bei kwa siku moja.
Hii ina maana kwamba ikiwa kila jezi imeuzwa kwa 30,000 basi almost 1.26Billions zimeingia kutokana na jezi.
Naona kabisa vunjabei amepiga mshindo mkubwa kwenye hili dili na anatamani...
Watu wawili wamepoteza maisha mkoani Njombe baada ya kuingia na jiko la mkaa ndani ya chumba cha kulala kwa lengo la kupunguza baridi Mkoani Njombe.
Kamanda wa Polisi mkoa wa Njombe Hamisi Issa amethibitisha kutokea kwa tukio hilo lililowakuta Benitho Mbatha (23) mpiga debe wa mjini Njombe na...
Hii ni vita Kati ya mashabiki wa timu moja wengine wakiamini kwenye uwezo wa kagere na wengine wakimuamini Mugalu.
Vita ilienda mbali zaidi hasa wakimshutumu kocha kuwa ana kaugomvi na baadhi ya muwakilishi wa mchezaji Fulani kwenye hii vita, all in all vita hii ishaanza kutoa taswira kamili...
Habarini za muda huu?
Leo nimeamua kuja na hii kitu ambayo inatokea kila uchwao.
Kila harusi niliyowahi kuhudhuria na hata zile ambazo sihudhurii bali nangalia kwenye kideo naonaga lazima bibi harusi amwage chozi.
Yaani either iwe katikati ya shughuli au mwanzo au hata mwisho lazima alie...
Haya leo tufanye ni siku ya kudedicate mtu yeyote kwa kutumia rangi, taja jina la mtu yeyote kwenye platform then mpe rangi yake unayoona anastahili kwa upande wako..
Hizi ndizo rangi zitakazotumika
1.orange - happiness
2.yellow - friendship
3.red - love
4.white - peace
5.black - hate
6.purple...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.