Search results

  1. M

    TRA inazalisha mabilionea wengi kupitia wafanyakazi wake

    Simple...chemsha maharage, chemsha viazi vitamu, chemsha mayai, changanya vyote halafu ule.
  2. M

    Natamani kila mpangaji angekuwa kama nilivyokuwa mimi

    Vibaka , Kipindupindu na malaria vitamfuata mwenye nyumba
  3. M

    Rais Samia achangia mamillioni ya pesa taasisi ya profesa Jay Foundation, atoa maagizo mazito kwa Wizara ya Afya na Muhimbili

    Paragraph ya kwanza napotezea. Paragraph ya pili na ya tatu uko sawa na juhudi zinaendelea. Paragraph ya mwisho ...ni sahihi hatuna madaktari bingwa wa figo, moyo nk?
  4. M

    Je, unajua ukiwa na Tsh elfu 30 tu unaruhusiwa kwenda kuomba escort ya polisi ikupeleke mpaka unapoenda?

    Miaka ya sabini wahasibu na watu binafsi walikuwa wakiporwa fedha walipokuwa wakienda au kutoka benki. Na matukio mengine yalikuwa fake. Kwa wakati huo Sh.20,000 ilikuwa ni mishahara ya taasisi nzima au mauzo ya wiki na zaidi. kuona hivyo serikali ikatunga sheria hiyo kwamba mtu yeyote akiwa...
  5. M

    Mradi wa SGR lot no 4, YAPI MERKEZ yaanza kufunga virago, inasemekana ni baada ya serikali kukosa fedha za kuwalipa

    Wazungu wanakwenda likizo kwao kwa hiyo kazi hazitaendelea. Wafanyakazi wanatakiwa kuondoka site wakale sikukuu makwao na kama wamelipwa mishahara miwili basi ni sahihi mwajiri lazima akulipe hata kama uko likizo. NSSF zinalipwa kila mishahara inapolipwa hivyi hilo sio tatizo. anaetakiwa kudai...
  6. M

    Israel - Marekani: Ipi siri ya uhusiano wao usiochuja?

    Simba Vs Yanga. Waislam wanaona Ukristo sio dini sahihi na Wakristo wanaona Waislam sio dini sahihi kila mmoja anataka mwingine aangamizwe kabisa. Kwa vile Wapalestine wengi ni Waislam na Waislam Duniani kote wanasapoti Palestine juu ya ardhi yao basi hawa Wakristo wanaisapoti Israel kwa chuki...
  7. M

    Mjane wa Augustino Mrema ajumuishwa kwenye mirathi

    Mambo ya urithi wakati mwingine yana ugumu, lakini mtu anatakiwa kuwa na msimamo ni mfumo gani wa urithi ufanyike baada ya kifo chake. mfano aeleze wazi kwamba Sharia (Kiislam) ifuatwe, au Kimila au Sheria ya nchi au kufuata usia atakaouandika. Watu wengi hawaweki wazi kwa kuogopa mfarakano...
  8. M

    Tanzania yadhibiti mfumuko wa bei

    Ni 22.86%. Bati huagizwa kutoka nchi za nje, hapa nchini kinachofanyika ni kutengeneza migongo, kukatakata na kupaka rangi. Bei ya kusafirisha contena moja kutoka China mpaka Dsm ilikuwa $3,000 sasa hivi ni $ 12,000 kama sikosei sawa na omgezeko la 75%. Na huko nje ndiko inflation rate imepanda...
  9. M

    Tulia Ackson ana uroho wa Madaraka

    Hapa mnajichanganya. Tulia amechukua fomu kuomba kupendekezwa na chama chake kugombea uspika. Wabunge ndio wanaochagua spika sio chama. Hata wanachama wa vyama vingine wana nafasi ya kugombea uspika kwa mujibu wa taratibu za vyama vyao. Kwa hiyo atajiuzulu unaibu baada ya kupitishwa na...
  10. M

    Tangu tupate Uhuru mwaka 1961 hatujawahi kuwa na madarasa ya Shule za Serikali ya aina hii

    Fedha ya mkopo imejenga madarasa mengi zaidi ndani ya miezi miwili, na watoto wote wataingia madarasani. Hakutakuwa na second selection. Fedha ya Tozo tungejenga madarasa machache machache kila mwezi watoto wengi wasingeweza kuwa na madarasa ya kusomea. Ungeshauri kwa vile tumekopa na...
  11. M

    Tetesi: Dr. Meneja wa Makampuni: Tatizo la elimu ya Tanzania sio kukariri bali ni ugumu wa lugha inayotumika bila kuwekewa msingi mzuri katika lugha hiyo

    Wao wana ukabila, na kinachowaunganisha wakiwa nje ya vijiji vyao ni lugha ya Kiingereza sisi ni Kiswahili. Kwa maana hiyo wao wanapokwenda vyuoni wanafahamu zaidi Kiingeza na maeneo yote wanatumia Kiingereza, vinginevyo hawataelewana. Tofauti na sisi ambapo mwanafunzi akitoka shuleni au chuoni...
  12. M

    Tetesi: Dr. Meneja wa Makampuni: Tatizo la elimu ya Tanzania sio kukariri bali ni ugumu wa lugha inayotumika bila kuwekewa msingi mzuri katika lugha hiyo

    Mada nzuri na mada hii inajadiliwa kila siku. Nilichogundua ni kwamba kuna pande mbili, moja inaafiki kuwa Kiingerea kiwe lugha ya kufundishia na upande wa pili wanakataa. Maoni yangu ni kuwapa wote. Tuwe na mifumo miwili ya elimu inayofanana kwa lugha mbili tofauti. Sasa hivi Kiingereza...
  13. M

    Mradi wa SGR umeendeshwa vibaya na utalitia Taifa hasara kizazi hadi kizazi

    Biashara ya malori itakuwepo tu kwani wenye bidhaa wataangalia na gharama nyingine za usafirishaji. Reli haifiki kila eneo lakini malori yanafikisha mzigo mpaka mlangoni. Hata abiria vile vile. Kama unakwenda Chalinze kutoka Morogoro, utapanda treni ya mwendo kasi au utapanda basi? Sasa hivi...
  14. M

    Mradi wa SGR umeendeshwa vibaya na utalitia Taifa hasara kizazi hadi kizazi

    Ni kweli serikali haiwezi kufanya biashara, lakini biashara zote kubwa zilianza kidogokidogo, makampuni mengine yalianza karne ya 18. Yakaendelea kukua kwa kufuatia uendelevu wa teknologia. Kwa sasa ni nani angeweza kujenga reli ya mwendo kasi au bwawa la Nyerere au miradi mikubwa inayofanyika...
  15. M

    Wataalamu wa Protokali mtusaidie "Rais Samia Suluhu kukaa besides ya Rais Joe Biden ina maana gani?"

    Hata ukiangalia kwenye picha bendera zilizoko nje ya jengo la UN bendera ya Tanzania na USA zinafuatana.
  16. M

    Namba zinanuka: Naunga mkono TANESCO ifumuliwe, na ikiwezekana ibinafsishwe kabisa, Makamba yupo sahihi 100000%. TANESCO ni janga

    Unavyotoa changamoto na kasoro ni bora uwe na maoni nini kifanyike au ufumbuzi wake ni nini. Nafikiria kama nia ni kuendesha TANESCO kibiashara basi miundombinu mingi inastahili kung'olewa kwani umeme umepelekwa vijijini kiasi ambacho kama ni mfanya biashara hawezi kupeleka umeme huko...
  17. M

    #COVID19 Kwanini tukimbize mbio za Mwenge kipindi hiki cha COVID-19?

    Naipongeza serikali kwa kuchukua hatua mbali mbali kuhakikisha hili gonjwa la COVIDS 19 halisambai, ikiwa ni pamoja na kuwataka wananchi kupunguza misongamano. Lakini hili la mwenge nadhani sasa ni wakati mwafaka kusimamisha mbio hizi kama ilivyofanya miaka miwili iliyopita. Serikali isionee...
  18. M

    Kuna haja gani kumtazama marehemu ikiwa tunamfahamu na tumeishi naye miaka mingi kabla ya kifo?

    Hii ndio inanikera kabisa. Wanaotakiwa kumuaga binti ni wana ndugu tu, sasa utakuta mtu anachangisha kila atakaekutana nae. Nakumbuka miaka ya nyuma mzazi anafanya shughuli hii nyumbani au kama ni kwenye ukumbi basi wahusika ni wanafamilia tu. Zamani binti akiolewa kuonana nae tena ni majaliwa...
  19. M

    Kuna haja gani kumtazama marehemu ikiwa tunamfahamu na tumeishi naye miaka mingi kabla ya kifo?

    Waislam wanaoruhusiwa kuiona maiti ni kama watu watano wa karibu tu. Hivi na sisi tukifanya hivyo hawa hawatoshi kuthibitisha kwamba tunaemzika ni yeye mwenyewe?
  20. M

    Hizi nguo kama za EFF ya Malema Afrika Kusini ndiyo CHADEMA wanavaa siku hizi?

    Aliyeanzisha kuvaa magwanda alikuwa Dr. Slaa, kutokana na harakati zake na safari ndefu za mikutano ya kisiasa, nadhani Mbowe hataki tena kuwa na kumbukumbu yake. Hizi zilikuwa ni safari suit, hasa watalii walizipenda sana , baada ya kufanywa kuwa sare za chama watalii waliacha kuzivaa kwa...
Back
Top Bottom