We jamaaa OKW BOBAN SUNZU ndio unaongoza kuwa na nuksi kuliko watu wote humu ndani . Nadhani hata mikosi ya Simba kufungwa inaanzia kwako. Kaoge njia panda bro.
Hakuna kitu cha raha kama mwanaume kuhonga ama kumuhudumia mwanamke wako . Inaleta heshima ya kiume mnooo pia inakufanya unakuwa mtawala , baba na mwenye maamuzi ya mwisho .
Tuwahonge wanawake zetu na kuwahudumia ipasavyo hutasikia mambo ya ufeminist kamwe.
Mimi Nikidate hata na mwanamke CEO...
Hivi mwanza kuna hotel gani hata ya nyota tatu ? Huwezi kulinganisha arusha na mwanza kwa hotels za maana . Nyie mna mnamrundikano wa gesti na lodges uchwara sio hotel za maana za world class .
Hakuna tofauti yeyote kati ya st Constantine na braeburn, wote wanafanya Cambridge curriculum. Hata Ada wametofautiana sio pakubwa ki hivyo. Na wasiwasi kama unauelewa mpana kuhusu hizi shule ungekuwa nao usingesema mtoto mmoja wa Braeburn anasomesha watoto 10 wa St Constantine. Upande wa IST...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.