Habarini humu ndani.
Nina shamba bagamoyo fyukayose, nimesoma maelezo ya kilimo cha tikiti imenipa uchu nami kuanza kulima kilimo hiki, sasa basi naomba mwenye ujuzi wa eneo hilo anijuze haya:
1.Ardhi ya kule inafaa kwa kilimo cha tikiti?
2. Endapo nikichimba maji naweza nikawa nafanya kilimo...
Habarini humu ndani,
Familia nyingi za Kitanzania tumezoea kila siku ni lazima chakula kiwe ugali mchana, jioni wali. Naomba mwenye uelewa wa chakula bora atusaidie kupata ratiba ya wiki ya mlo kamili kwa ajili ya familia zetu.
Natanguliza shukrani
Anastahili hongera, aendelee kukuaza buti atafika mbali, mie huwa situne mawingu kbs ILa ikifika saa moja jioni napenda kusikiliza kipindi chake, anasauti nzuri, ni mbunifu, Ubarikiwe Milardi.
Shukrani Kubota kwa kuanzisha huu uzi, na wachangiaji wengine mliochangia mbarikiwe!!!!!
Mie na swali kidogo,
nina kuku alitaga nje ya banda lao, alivyoanza kutamia nilimuhamisha usiku kumpeleka ndani ya banda(mahala nilipotengeneza kwa ajili ya kutania (kulalia), HAKULALIA yale mayai, kesho...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.