Nyalandu akiwa Waziri wa Maliasili 2014 alikaa uso kwa uso na Stephen Sackur kwenye Hard Talk. Jamaa Nyalandu ana English imenyooka safi na by then nilikuwa nje ya Tz kwa ngeli yake jamaa aliniinua sana mbele ya wale wenyeji wa nchi ile
Kwa kiingereza inaitwa "last respect" kama unaona haina maana ni sawa waachie wenyewe. In addition waweza kuandika wosia usiagwe
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa wanozifahamu Xiaomi ni simu za China (wanaziita Chinese apple) mi nina "Xiaomi mi 5c" lakini tangu imefika hapa Tz imekataa kukamata 3g au 4g, msaada plz wa kufix hii mambo
Wakuu habari zenu.
Nimeona kuna demand mkoa flani hivyo ninahitaji kufanya bussiness ya karatasi. Kuna mtu anafahamu humu wapi wanaweza kuwa wanauza karatasi kwa bei ya jumla apart from yale maduka ya stationers K'koo (let's say from 500 cartons. 1 carton ni box ambalo ndani kuna ream 5)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.