Iliwahi kunitokea pia. Mimi nilianguka nikapigiza kichwa though sikuanguka vibaya..
Mke wangu alinisikia nikikoroma, akaja kanikuta chini.
Nilikua naona kama naota kama kizungu zungu hivi..
Ilikua immediately baada ya haja ndogo...
Nilienda hospital moja kubwa kuchunguzwa, nikaanza na...
Mwanakijiji, tatizo Dr Slaa, anaonekana kumwongelea Lowasa peke yake. Jana alivyoambiwa kuongelea ufisadi, alionekana kuegemea upande mmoja tu na kuonekana kumsifia Magufuli.
Swali nalofikiri, kwa nini Dr Slaa asingemkatalia Gwajima in the first place? Kwa nini alimuanganisha Gwajima na...
Najua vyombo vya usalama havina uhuru. Lakini sasa tunafanyaje? Uchunguzi ni kitu kizuri, ila hatujui haya yanatokea kwa maslahi ya nani. So hata uchunguzi unaweza usiaminike kwa sababu vyombo vya usalama haviaminiki, but hilo haliondoi umhimu wa uchunguzi.
Kwani Huko Amboni kulikua na maandamano??? Maana mara nyingi magaidi huvizia maandamano.
Anyway, sifurahii uwepo wa magaidi. Lakini naomba kulionya jeshi la polisi kuona umhimu wa kushirikiana na wananchi na sio kuwanyanyasa hovyo. Watu humu ndani wengine wanaongea lolote kwa sababu ya jeshi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.