Sina utaalamu wa kutosha sana na Biashara ya HISA. Lakini nimeshauriwa, kwa kuwa muda mwingi nipo kazini basi vema niwekeze kwenye HISA.
Tafadhali 10m hiyo, HISA zipi nichangamkie?
Najua si rahisi sana lakini ni vema kama nchi ikapambana kujua vema na kuwaongoza wananchi wake:-
Maabara zitambue kwa makini chanjo hizo ziko na vitu gani hasa(content)
Tutafsiri kila kimoja na faida au madhara yake.
Bado dunia haikimbilii sana hizi chanjo.
Bado vifo vimeripotiwa kwa hizi...
TAFADHALI SINA UFAHAMU WA KUTOSHA WA MAJENERETA.
HELA YANGU SI KUBWA
NIMEAMBIWA JENERETA 5.5 KW NA LILE LA 6KW NI MAZURI.
NILITAKA KUCHUKUA 5.5 KW NIKAAMBIWA IPO 6KW NDO NZURI.
HEBU NISHAURINI YAFUATAYO:-
1. 5.5 KW NA 6KW IPI NZURI NITAJIE VIGEZO (NATEGEMEA YA 6 MAANA YAKE INA NGUVU ZAIDI...
Habari,
Nina kijana wangu anaweza kutengeneza sabuni za mche nzuri tu. Sasa katika kuhifadhi, ninahitaji maboksi madogo madogo. Unakumbuka yale ya sabuni za komoa, mbunju, hata kodrai, mshindi. Yale yanapatikanaje?
Sambamba na hilo, kuna mihuri ya kuandika jina na maandishi kadhaa kwenye...
Tafadhali ndugu zangu,
Kuna ujumbe nilifuta kwa ajili ya kupata nafasi kwenye simu, sasa nina uhitaji tena.
Inawezekana kuupata na kuusoma tena
Ni simu ya teckno pouvoir 3
Habari.
Tafadhali, duka lipi hapa Dar seat covers za magari zinauzwa, zikiwa ni zile imara.
Nilifika Kariakoo, duka la kwanza nimezikuta. Tshs 240,000 inashuka hadi 220,000.
Duka la pili naambiwa uliyoona kule ni feki, mimi nakuuzia 200,000 ambayo niliambiwa duka la kwanza ni 240,000.
Duka...
Viongozi tukumbushane, unakwenda kununua gari, kwa mtu (sio show room), kitu cha kwanza kadi, pili mkataba,
Unaweza taja kitu kingine. Lengo ni kuhakikisha hakuna nafasi ya kutapeliwa. Tushauriane
Kaka yangu anataka gari, amenipa utaratibu huu
1. Gari aina ya Harrier, namba za usaji D, kiasi kisizidi 11m
2. Kama ni prado isizidi 14m na usajili D
3. Kama ni Kruger, isizidi 12m na usajili D
Sasa natangaza hilo ukiona gari katika range hiyo tafadhali itupie hapa. Fedha kwa kiwango...
Nimefika jioni pale Msamvu (stendi). Akatokea jamaa mmoja, .....aaah ticha vipi habari ya siku, najua unanikumbuka nilikuwa agent (wa basi hilo nililosafili nalo). Ulikuwa unakuja nakukatia tiketi pale, ticha bwana. Anaongea maneno mengiii
NIKAMJIBU WEWE NI MWONGO, MIMI NDIO KWA MARA YA KWANZA...
KWA MAELEZO HAYA YA MARTHA MWAIPAJA TUSIMLAUMU ROSE MUHANDO
"Msanii wa nyimbo za injili Martha Mwaipaja ambaye ni miongoni mwa wasanii walio karibu sana muimbaji Rose Muhando ameeleza kilichotokea kwa Rose Muhando .
Martha ameeleza jinsi Rose alivyojiingiza kwenye madawa ya kulevya na jinsi...
Habari ndugu zangu tafadhali tujuzane juu ya biashara ya machine ya kukoboa na kusaga nafaka.
1.Mashine yenyewe; kiwango cha chini kabisa cha fedha cha kuweza kununua machine yenye tija .........
2.Uendeshaji
a. Namna bora ya udhibiti hasa ukiwa mbali na biashara ilipo
b.Eneo sahihi la kuweka...
Endapo mteja ulikuwa unachangia kwa hiari katika Mfuko ambao nimeutaja, ikifika wakati wa kujiondoa kwa ujumla, kuna fedha yeyote utakatwa au unapewa fedha yote kama ulivyochangia?.
Kama kuna mmoja wetu alishatumia huduma hii, changamoto yake ni nini hasa.
KARIBU.
JE WAJUA KWAMBA KATIKA MSIMU WA MWAKA 2016/2017 - WA LEAGUE YA JUPITER - BELGIUM, MBWANA SAMATA ALIIBUKA MFUNGAJI BORA AKIWA NA MAGOLI 11 KWA TIMU YAKE YA RACING GENK AKIFUATIWA NA Nikolaos Karelis AKIWA NA MAGOLI 9? ZINGATIA, NI NDANI YA TIMU YAKE NA SI TIMU ZOTE.
MFUNGAJI BORA WA JUMLA KWA...
Habari.
Hii application nime download, ipo katika simu yangu na nimejaribu kuitumia sioni mafanikio. Je kuna mtu amfanikiwa kutumia application hii anipe uzoefu.
Thanks
Kama kichwa kilivyo, endapo atalishughulikia hilo ipasavyo itakuwa rahisi hata kwa nchi za Afrika kupambana na hili na kufikia hatua nzuri. Utakumbuka Malawi ilishawahi kuwatia hatiani mashoga wawili na kuwahukumu miaka 30 jela. Waliachiwa baadae baada ya kukemewa na Marekani kuwa ni kinyume na...
Nimeanza ujenzi ili nisipange tena. Ila gharama inataka kuharibu ka- lengo kangu hako. Nyumba yenyewe ni mita 13 x mita 15.
Mtaalamu asaidie idadi ya bati zinazohitajika. Lakini pia ....
Kwa wanaofahamu, bati hizi za kawaida, gauge 28 ziko recomended sana hadi katika majengo ya serikali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.