Sina utaalamu wa kutosha sana na Biashara ya HISA. Lakini nimeshauriwa, kwa kuwa muda mwingi nipo kazini basi vema niwekeze kwenye HISA.
Tafadhali 10m hiyo, HISA zipi nichangamkie?
Magufuli ameonesha njia sahihi saana ambayo tz tukipita tutafika mbali sana. Hii kitu haijawahi tokea kwa kipindi chote ambacho tumekuwa nacho. Ameonesha kwa vitengo ni kitu ambacho wengi hawakufikiria. Kumbe inawezekana.
Tunaweza kuacha siasa za kudanganyana tukachagua maendeleo ya kweli...
Kuna watu huwezi waambia lolote juu ya Magufuli, hawaji kukuelewa. Kwa sababu aliyoyafanya yameeleweka zaidi.
Kuna kundi lipo na mtazamo tofauti, sijui kwa mwelekeo wao.
Huu ni mtaji wa kisiasa kwa kundi fulani,
Kuendelea kumsema marehemu ni kuimarisha mpasuko,
Na matokeo hata kama si sasa...
Najua si rahisi sana lakini ni vema kama nchi ikapambana kujua vema na kuwaongoza wananchi wake:-
Maabara zitambue kwa makini chanjo hizo ziko na vitu gani hasa(content)
Tutafsiri kila kimoja na faida au madhara yake.
Bado dunia haikimbilii sana hizi chanjo.
Bado vifo vimeripotiwa kwa hizi...
BADO ISIWE NDIO PAPARA YA KUTOA CHANJO.
WATAALAMU WETU KWA UAMINIFU
WATUSAIDIE KUJUA CONTENT YA CHANJO.
DUNIA BADO HAIENDI KASI NA CHANJO HII.
USALAMA WAKE NA NINI KITATIKEA MBELE HAVIJATHIBITISHWA.
😂😂😂 rafiki yangu usipende ukabila kabisa. Acha hivyo vitu sio vizuri.
Kila mmoja anaweza kusifia chake Kama ulivyofanya wewe, na sio gharama, halafu unasifia hadi tabia za kijinga kabisa.
Mada hii ungeweza kuweka kwa namna nyingine endapo lengo lako ni kuamsha watu wapambane kupata kwa...
Nilijaribu kuulizia juu ya bei kuna mtu kaniambia hii ya 6kw ni milioni 2.5.
Najifunza kwamba natakiwa kuangalia limetengenezwa wapi. Kutokana na maelezo ya awali.
Thank you
TAFADHALI SINA UFAHAMU WA KUTOSHA WA MAJENERETA.
HELA YANGU SI KUBWA
NIMEAMBIWA JENERETA 5.5 KW NA LILE LA 6KW NI MAZURI.
NILITAKA KUCHUKUA 5.5 KW NIKAAMBIWA IPO 6KW NDO NZURI.
HEBU NISHAURINI YAFUATAYO:-
1. 5.5 KW NA 6KW IPI NZURI NITAJIE VIGEZO (NATEGEMEA YA 6 MAANA YAKE INA NGUVU ZAIDI...
Habari,
Nina kijana wangu anaweza kutengeneza sabuni za mche nzuri tu. Sasa katika kuhifadhi, ninahitaji maboksi madogo madogo. Unakumbuka yale ya sabuni za komoa, mbunju, hata kodrai, mshindi. Yale yanapatikanaje?
Sambamba na hilo, kuna mihuri ya kuandika jina na maandishi kadhaa kwenye...
Nimeoa huko. Nampenda, amenizalia watoto wazuri nawapenda.
Mengine mtajua wenyewe. Mimi nimeridhika. Anamtumia fedha mama yangu mzazi na baba yangu mzazi kila mwezi.
Hajawahi kudharau wazazi wangu.
Wazazi wangu wana furaha sana.
Imenitosha kabisa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.