Achakupotosha watu wewe be reasonable, ndio Maana kunamawasiliano hapo kabla hujaandika lolote unge patauthibitisho kwanza.ila kwa kuwa wewe siomulewa wacha nikuelimishe Kiwanja hakikondani ya hifadhi ya barabara..kwa muhitaji nipigie 0713 377167/0756 377167
Ooh sorry nimeiona SMS yako, Kiwanja kipo karibu sana na barabara kwa kupima kilometre hata kilometer moja haifiki. Kiwanja kipo mahali pazuri sana pia unaweza kujakukiona .
Kiwanja kipo Vikindu barabarani kabisa,umeme upo na miundombinu mingine IPO, kina ukubwa wa futi 60 kwa 50.
Kinafaa kwa Ujenzi wa nyumba au biashara, bei ni mil.3 na nusu kwa anayehitaji wahi mapema hakina Dalali.
Nipigie kwa 0713-377167/ 0756-377167
eneo kubwa La wazi linauzwa pia ndani yake Lina nyumba ya vyumba vi4 na fremu za biashara 4. eneo hill liko karibu sana na barabara kuu na kuna Barabara ya Gari inafika mpaka kwenye eneo hilo linafaa kwa makazi yadi Bandar kavu kiwanda. bei million 120. maongezi yapo 0713-377167/0756-377167...
Kiwanja kipo Vikindu Mkuranga karibu na barabara kuu umeme umefika eneo hilo, kina ukubwa wa futi 60 urefu-50 upana kuna barabara ya Gari inayofika mpaka kwenye Kiwanja. bei million 4 maongezi yapo 0713-377167/0756-377167.
Gari iko katika halinzuri na inatembea body type ni station Wagon, colour Blue/ silver, ya mwaka 1992, Engine Capacity 2477,fuel ni diesel, seating capacity 7. bei ni 7,000,000 /(million 7). kwa mawasiliano 0713377167,0756377167 wahi mapema & maelewano yapo na kadi ipo.
Ni ukumbi wa kisasa kwa ajili ya shughuli kama Harusi, Sendoff, kitchenparty, mikutano, mahafali, kipaimara, ubatizo, semina na nk.Una Standby Genereta, Maji yanapatikana masaayote,vyoo vizuri na vyakisasa, upishi mzuri wa vyakula kulingana na menu aliyochagua mteja,tunatoa...
Ni English medium school mpya na yakisasa,Tunapokea watoto kuanzia miaka 2 1/2-kuendelea kwa ajili ya Nursery classes, na tunaandikisha Darasa La kwanza, kwa watoto waliomaliza nursery endapo atafaulu interview yetu.Shule inamazingira mazuri yakusoma,usalama ,tunatoa chakula asubui na...
JulliePaul academy inatangaza nafasi za kazi za walimu kwa nursery na primary. sifa awe na uzoefu wa miaka 5 ya kufundisha nursery au primary. shule inatoa benefit mbalimbali na mishara hupatikana kwa wakati. kwamawasiliano 0715377167/ 0754692414
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.